HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
Niwewe ni Mchepuko wanguAcha uongo
Conmen trickstafuta risit fake za efd na za kawaida andika hivyo vitu vyote halaf siku unaenda unamwambia vimepotea ubungo wakat wakat unapakiza
Huyo hakutakiNiwewe ni Mchepuko wangu
Ngoja nichukue hizo namba zake. [emoji23] [emoji23]
Lazima nimsumbue.Dah halafu inasomeka kirahisi kweli kweli.
Lazima nimsumbue.
Nitatumia siku moja kabla hajaanza mizinga ya blender na chupa za chai nasepa.nimeona hatuko mkoa mmoja nimekuachia mkuu!
JipangeNitatumia siku moja kabla hajaanza mizinga ya blender na chupa za chai nasepa.