Mchepuko umenizalia 'Twins' kwa surprise

Mchepuko umenizalia 'Twins' kwa surprise

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.

Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.

Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.

Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.

Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?
 

Attachments

  • nivurugenikuvuruge_20210112_104255_0.jpg
    nivurugenikuvuruge_20210112_104255_0.jpg
    38.1 KB · Views: 52
Hongera mkuu.
Kuchanganya damu ni nzuri kwa ustwari wa akili za watoto.

Tuige mfano kwa wenzetu wachaga wao unakuta mama anaona watoto wa mume ni wazito sana.
Anaamua kuchanganya na mushi ili kupata watoto wenye IQ kubwa zaidi hii ni nzuri sana.

Nadhani usubiri muda ukwende ukamtambulishe mkeo .
Binafsi sinaga uwoga kwenye maisha na kwa upande wangu hili ni jambo jepesi sana.

Hongera sana .
 
Hongera mkuu.
Kuchanganya damu ni nzuri kwa ustwari wa akili za watoto.

Tuige mfano kwa wenzetu wachaga wao unakuta mama anaona watoto wa mume ni wazito sana.
Anaamua kuchanganya na mushi ili kupata watoto wenye IQ kubwa zaidi hii ni nzuri sana.

Nadhani usubiri muda ukwende ukamtambulishe mkeo .
Binafsi sinaga uwoga kwenye maisha na kwa upande wangu hili ni jambo jepesi sana.

Hongera sana .
Scientifically IQ ya mtu haitokani na genetics,IQ ya mtu ni malezi na mazingira aliyokulia,hakuna uhusiano kati ya iq na genetics.
 
Hongera mkuu.
Kuchanganya damu ni nzuri kwa ustwari wa akili za watoto.

Tuige mfano kwa wenzetu wachaga wao unakuta mama anaona watoto wa mume ni wazito sana.
Anaamua kuchanganya na mushi ili kupata watoto wenye IQ kubwa zaidi hii ni nzuri sana.

Nadhani usubiri muda ukwende ukamtambulishe mkeo .
Binafsi sinaga uwoga kwenye maisha na kwa upande wangu hili ni jambo jepesi sana.

Hongera sana .
Pale wazinzi wanaposhauriana kizinzi.

Mleta mada, naomba uwalee hao watoto mapacha pia ukamtambulishe kwa mkeo ya kuwa umepata double package and blessings from another wife.

Mungu akusaidie sana wapate mapenzi yenu wazazi wote wawili.
 
Back
Top Bottom