....loading....Uchunguzi unaonyesha tabia hii ya kupigana mzinga ilikuwepo tu kutoka kwa dada zetu wengi ila takwimu zinaonyesha tabia hiyo imeshika kasi sana tangu JPM aingie madarakani...Ongezeko la kupigwa mizinga limeongezeka mara dufu na hii ni kwa sababu wale Ma -Sponsor wakubwa waliokuwa wakitumiwa kama ATM sasa hivi hawana kitu tena...So tuwe waungwana ukiwa na uwezo wa kutoa we toa tu..
iusho vakishu.sioni tabu kumpa mshiko kama naye anatoa engoleshe vizuri. ...nipe nkupe basi.
haniiiiiiiiiii.......hujambo?Ongera kwakujuwa no money no haniiiiii hahaha[emoji126] [emoji108] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hilo nalo la mcngi sana.Mpe sharti kila anapoomba fedha, aje kuzichukulia Lodge
Tafuta jimama lenye HelaSharti la kwanza: tumekubaliana asivae zile nguo nyeusi zinazofunika usoni hadi miguuni kwakuwa yeye ni mzuri, hapo amekubali.
Sharti la pili: nikamwambia asiwe ananiombaomba pesa bali afanye hivyo mwisho wa mwezi tu. Hapo tumeshindwana, anataka muda wowote akihitaji zitoke. Nani atamweza?
Kweli naamini "no money, no honey".
Msemee kwa mke wako
Siku izi kaulimbiu hii naifanyia sana kazi una shida na pesa njoo uchukue lodjeMpe sharti kila anapoomba fedha, aje kuzichukulia Lodge