Mchepuko wangu anakula sana, msaada wenu ni muhimu sana

SmAlL pDiDy. jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2014
Posts
392
Reaction score
133
Wadau,

Yaani nimepata mtoto mmojaa wa kachanganya damu . Ni mzuri balaa halafu papuchii ni mnato kwelli. Tatizo huyu mchepuko wangu anapenda kula ugali wa dona hata sahani tatu.Imagine juzi nimeendaa naye palee Break point Posta mtoto kaagiza maakange ya kuku mbili na ugali halafu akapigaa coca ya baridi.

Tukatoka hapo tukaenda maeneo ya triplee 7 mtoto hapa ndo akanitisha akaagiza kongoroo mbili. Na ndizi tatu. Na coca tena ya baridi.Uzuri wa huyu binti hanywi pombe wala hapigi vizinga.Yeye anapenda kulaa tu muda wotee.so mara nyingi nkiwa nakunywa yeye anapiga msosi kama kongoro,makange,trupaa,mturaa na chapati ndio raha yake huku anapata Coca ya baridi.


Wadau naombeni mnisaiidie huyu binti atakuwa na tatizo gani au ndo watu waliochanganya damu wanapenda kula hivi.
 
Unazingua sana wewe na pdidy mna usela wa zamani na sifa za kijinga andikeni vizuri .
 
Mkuu hapo umeokota kitu monster, jiandae akiamua kukutolea uvivu atachukua kila kitu chako na kuondoka kama fasti jeti
 
SmAlL pDiDy. jr

Hana mapepo huyo kweli? Anafanya kazi gani? anaenda mara ngapi powder room/ loo? Amepima minyoo? mara ya mwisho kunywa dawa za minyoo ilikuwa lini?
 
Last edited by a moderator:
Labda ana misukule anailisha kwa njia hiyo (just kidding).
 
kula mwaego ndo marupurupu hayo.
 
Jini mahaba hilo linakulia timing tu. Akiwa anakula jaribu kuangalia miguu yake utaona kwato za punda
 
Hana mapepo huyo kweli? Anafanya kazi gani? anaenda mara ngapi powder room/ loo? Amepima minyoo? mara ya mwisho kunywa dawa za minyoo ilikuwa lini?



NikImuuLiza anaNinuNia haTa sikU mbili mfululizo. Kazi anAfanYa ni secreTary wa Ofisi Moja kUbwa hApa mjinii taTizo ni kiwavi anapiGa menyuuu balaaa
 
Ni kweli huwezi kuandika kama uko serious au ndo kula kumekuchanganya.
 
Halafu nikitukana mnaniona mkorofi. Mwandiko gani huu Qoumermarqo?
 
Afadhali huyo wa kwako, mi wangu kila nikiagiza bia yeye chips maya sahani moja na mishikaki miwili, sasa nikipiga bia 10 na yeye hivyo hivyo sahani 10 za chips.
 
Afadhali huyo wa kwako, mi wangu kila nikiagiza bia yeye chips maya sahani moja na mishikaki miwili, sasa nikipiga bia 10 na yeye hivyo hivyo sahani 10 za chips.



MkuUu inaBidi tufAnye outIng sikU moja. Mi nTakuwa na waNgu na Wewe ujE na wako. sisi tunywe bIa zetu. HalafU wao WaFanyE yaO.
 
Atakuwa mnene sana huyo. Ila ndiyo mzuri huyo anakupa hamasa ya kutafuta zaidi. Mwanamke anayekula sana, hata kwake atapika kingi kwa hiyo hamtalala njaa, anayeomba pesa au mwenye matumizi makubwa atakupa hamasa ya kutafuta zaidi. Kama akiongeza na ukorofi ndiyo anazidi kuwa mtamu sana.
 
Sijui kwanini, mimi napenda asiejivunga katika swala la kula. Sipendi kwenda mahali na mtu halafu mimi ndio naonekana nakula huku mwanamke nilienae anagusagusa chakula.
Au kuna wale ambao unamuuliza Baby unakula nini? Atakataa na kudai ameshiba ila umuagizie soda tu halafu chakula ulichoagiza wewe kikija, atadonyoadonyoa kwa toothpick au mikono mpaka mnamaliza wote.
Mwanamke inatakiwa ale na asiwe na aibu, kama anapenda ugali na mtura au chipsi na mtura, aagiza hicho.
Kwa kifupi "mini Pdidy", huyo ndio binadamu anaejitambua, mpe uhuru wake na kama bajeti ndio tatizo uwe unamweleza mapema.
 
Anatafuta namna ya kukutengenezea makalio makubwa.Au huyataki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…