Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

asante sana kwa muda uliotumia kuandika makala hii! la nimeamini watu wana muda wa kuharbu sana
Mambo Yao waachie wenyewe.... Cc:smart911 [emoji4][emoji106]
 
Mkuu huu mchepuko bila shaka utakufanya umalize mwendo ukiwa umechoka balaa. Maana una matukio zaidi ya App ya kimambi
Napenda sna kuandika maisha yangu kwny diary yangu[emoji4]

MUNGU akinijalia,
Nikifikisha miaka 60 NATAKA nitoe kabisa kitabu Cha kuhusu maisha yangu[emoji4]

Kuhusu sarakasi zote na Mchepuko wangu, nmejitolea tu kwa moyo mmoja kushare na ni nyinyi.[emoji116]


 
Mkeo akija kusoma diary mtagawana mali kama bill na melinda 🤣🤣🤣 tena itakuwa poa divorce iwe settled katika mahakama ya UK
 
DeepPond sema Mchepuko wako ifike mahali tu umfanye rasmi kabisa maana inaonesha huwezi kumwacha maana unampenda sanaa na siku utasikia kaolewa utaumia sana asee, we cha kufanya Mfanye rasmi tu
 
Hauko serious haki ya Mungu kaka unatumia nguvu kubwa kwa huyu Dada ila in short hakupendi anapenda pesa zako!!!na soon mtaachana vibaya sana!!
Na ipo siku atajua kila michezo miovu unayomfanyia!
Hii K ndo ina nguvu kiasi hicho mpk kupelekea kufanya yote hayo!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…