Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

We jamaa ni miyeyusho kuliko FRANCIS MIYEYUSHO mwenyewe
 
Uyu Ni mwanamke wa tofaut Sana kingono tangu nmewajua wanawake[emoji4]
Lijendi lijendi, unaniangusha mzee mwenzangu, ina maana ufuska wako woote ulikuwa bado hujakutana na jini linajua kumbatombatoana kuliko huyu mama J!? [emoji23]
 
Maandishi yote hayo nisome mimi mpaka nimalize? You can't be serious!
 
Sidhani kama ni kisa cha kweli, hii ni furahisha baraza dada yangu.

Mwezi umeuona? Njoo uchukue nazi na mihogo ya futari ndugu yangu.
 
Sidhani kama ni kisa cha kweli, hii ni furahisha baraza dada yangu.

Mwezi umeuona? Njoo uchukue nazi na mihogo ya futari ndugu yangu.
Kama ni kisa cha kutunga basi jamaa ni mtunzi mahiri na kama ni kweli basi ni noma aisee ni zaidi ya isidingo the need
 
Umezidi. Sasa huoni kama unampotezea muda dada wa watu? Too much aisee
 
Umezidi. Sasa huoni kama unampotezea muda dada wa watu? Too much aisee
 
Hivi huyu ndo yule ma jay tigo au mwingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…