Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Wale mnaosema Haaland ni bonge la mtu basi mje muone jitu la miraba minne huku.
Pichani ni mcheza kikapu wa NBA ambaye ni Msenegal akiwa na wachezaji wa Man City akiwemo Haaland.
View attachment 2756185
Duuh Wembanyama hayuko hapo na urefu wote ule
Victor Wembanyama ana futi 7.4.Duuh Wembanyama hayuko hapo na urefu wote ule
Umeandika kama Mzee YusuphThe guy is 7.6 ft for godsake...unategemea kwa urefu huo watu ordinary wataonekanaje kwake?
Halafu Nd'iaye hayupo NBA
Hii sasa ni balaa. Leonel Messi akisimama na mtu kama huyo, kitakuwa ni kichekesho cha mwaka.Wale mnaosema Haaland ni bonge la mtu basi mje muone jitu la miraba minne huku.
Pichani ni mcheza kikapu wa NBA ambaye ni Msenegal akiwa na wachezaji wa Man City akiwemo Haaland.
View attachment 2756185
Eti leo halaand ni kajitu tuWtf
Duh
Halaand sidhani kama ni ordinaryThe guy is 7.6 ft for godsake...unategemea kwa urefu huo watu ordinary wataonekanaje kwake?
Halafu Nd'iaye hayupo NBA
Halaand sidhani kama ni ordinary