mbui yondaniJamaa alikuwa anapiga kiungo si mchezo alikuwa anakimbia taratibu huku akitanua mikono yake kwa nyuma,enzi hizo reli kiboko yao mji kasoro bahari Moroooo...ndani ya uwanja huku Mtono,Mbui Jordan,David Mihambo,Abdalah Mkali,Masenga,Peter Nkwela nk...Nakumbuka walizawadiwa baiskeli yeye (Duncan) aliiandika baiskeli yake 'The butty'.Tz tulishindwa kuuza wachezaji wetu nje miaka ile sijui tutawauza lini tena,R.I.P Butty
Jamaa alikuwa anapiga kiungo si mchezo alikuwa anakimbia taratibu huku akitanua mikono yake kwa nyuma,enzi hizo reli kiboko yao mji kasoro bahari Moroooo...ndani ya uwanja huku Mtono,Mbui Jordan,David Mihambo,Abdalah Mkali,Masenga,Peter Nkwela nk...Nakumbuka walizawadiwa baiskeli yeye (Duncan) aliiandika baiskeli yake 'The butty'.Tz tulishindwa kuuza wachezaji wetu nje miaka ile sijui tutawauza lini tena,R.I.P Butty
Peter Mjata!
Athuman Msomali!
Boniface Njohole!
Mwanamtwa Kihwelo!
Gaspar Lupindo!
Madundo Mtambo!
Dincan Mwamba
Fikiri Magoso!
Juma Salum!
Mbui Yondan!
Hii timu mnyama alikufa 4-2 ndani ya Jamhuri!
Butty alikuwa kiungo wa pembeni, mbio sana! ukimkaba vby viwiko vinakuhusu kwa ule ukimbiaji wake!
RIP Duncan Butinini!
Same here!tena wachezaje wenzake Allan katunzi na Juma Rajab ni watu wangu wa karibu sana!Miaka mitatu sijajua habari ya kifo cha butinini.....
Rip
Hiyo gemu niliiona,niliingia uwanjani saa 4 asubuhi.Ila walikuwa wakienda Mbeya walikuwa hawana ujanja mbele ya Tukuyu stars ya akina Jimmy Mored 'moro' na stephen Mussa,Godwin & Asanga Aswile,Justine Mtekele nk
mkuu wewe utakuwa mwenzangu! kipindi hicho soka lilikuwa mikoani, sio siku hizi, majungu na fitna tupu! ilikuwa timu za kariakoo zikienda Morogoro - majanga! Mbeya - majanga! Tanga - majanga! Mwanza - Majanga! Songea - majanga!
Katunzi yuko wapi huyu mtu??Same here!tena wachezaje wenzake Allan katunzi na Juma Rajab ni watu wangu wa karibu sana!
Unamaanisha kwa Duncun Butinini ama?Nikiwa mshabiki wa Reli Moro miaka hiyo bado nakumbuka utaalamu na juhudi za Hayati Dancun Butinini. Hakika kwake tumetokea na kwake tutarejea.
hukuona ameweka nukta ndo kaanza sentensi nyingine ama umejitoa ufahamuUnamaanisha kwa Duncun Butinini ama?
Aliyetajwa ni mtu mmoja Duncun Butinin na mwandishi anamalizia kuhusu kwake tutarejea,Nani Sasa? Unataka kumlisha maneno ambayo yeye hajayaweka.Hivi nikisema tu,,,yeye aliye juu inatosha kuleta maana kama nilivyokusudia? Nani aliye juu? Aliye juu ya nini? Juu ya mti,nyumba,mlima au mawinguni?hukuona ameweka nukta ndo kaanza sentensi nyingine ama umejitoa ufahamu
Aliyetajwa ni mtu mmoja Duncun Butinin na mwandishi anamalizia kuhusu kwake tutarejea,Nani Sasa? Unataka kumlisha maneno ambayo yeye hajayaweka.Hivi nikisema tu,,,yeye aliye juu inatosha kuleta maana kama nilivyokusudia? Nani aliye juu? Aliye juu ya nini? Juu ya mti,nyumba,mlima au mawinguni?hukuona ameweka nukta ndo kaanza sentensi nyingine ama umejitoa ufahamu
Mbui Yordan na David Mihambo baadae walienda kuchezea Simba?Jamaa alikuwa anapiga kiungo si mchezo alikuwa anakimbia taratibu huku akitanua mikono yake kwa nyuma,enzi hizo reli kiboko yao mji kasoro bahari Moroooo...ndani ya uwanja huku Mtono,Mbui Jordan,David Mihambo,Abdalah Mkali,Masenga,Peter Nkwela nk...Nakumbuka walizawadiwa baiskeli yeye (Duncan) aliiandika baiskeli yake 'The butty'.Tz tulishindwa kuuza wachezaji wetu nje miaka ile sijui tutawauza lini tena,R.I.P Butty
Pole sana mkuuMungu ampumzishe kwa amani
Pole kwa wafiwaWanajamii wenzangu jana nimepata taarifa ya kusikitisha ya kifo cha Duncan Butinini aliyeugua kwa muda mrefu. Huyu alikua mwanasoka hodari miaka ya 90. Msiba upo kimara kwao. RIP
Daaah, kumbe hadi kaburi linafukuliwa? Post ya 2011 hii. DuuuuuhPole kwa wafiwa