Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Bado sijaelewa sababu hasa za Habibu Kyombo kusajiliwa na Simba , timu mbili alizochezea zimeshuka daraja , sasa labda Timu yetu ya Simba itufichulie kama inamlipa fadhila baada ya kushiriki kuzihujumu timu za Mbao na Mbeya Kwanza , kama alitumwa kufanya hivyo .
Nakaribisha maswali .
Nakaribisha maswali .