Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hata Mbeya Kwanza haikuisajili Mbao , ilisajili Mchezaji
Nisome ndani ya mistariBro,umeanza kusema hujaelewa alafu unakaribisha maswali,utajibu nini huku hujaelewa???[emoji848][emoji848][emoji848]
Sawa kaka, cha kwanza ni kwamba kushuka kwa timu haimaanishi mchezaji mbaya maana peeformance ya timu inategemea vitu vingi sana,so siyo kigezo.Nisome ndani ya mistari
Yah,pia kacheza under 20 ya sundowns ya south Africa, so he got basics za sokaKuweka data vzr pia aliishusha na Singida United
Sio under 20 Mzee ila alikwenda trial na akaferi coz trial yake walimpatia acheze na timu ya watoto ya Sundowns na akashindwa kuprove uwezo wakeYah,pia kacheza under 20 ya sundowns ya south Africa, so he got basics za soka
Kwamba huenda ukawa unaujua mpira kushinda viongozi wa Simba waliomsajili na watakaomlipa?Sio under 20 Mzee ila alikwenda trial na akaferi coz trial yake walimpatia acheze na timu ya watoto ya Sundowns na akashindwa kuprove uwezo wake
Ila nawakumbusha tena, Bwana mdogo ni Prone Injury
Shangaa as if hizo timu zilikuwa na Kyombo peke yakeBro,umeanza kusema hujaelewa alafu unakaribisha maswali,utajibu nini huku hujaelewa???🤔🤔🤔
Hii ya injury prone ntakuunga mkono kwamba inatisha ila kufail majarbio kule hakumfanyi awe hafai,sundowns si timu ndogo and u dnt knw nn kilimkwamisha, mwsho viongozi nadhani wameangalia mengi sana na mazito si hvi vvtu vduchu vyako.Sio under 20 Mzee ila alikwenda trial na akaferi coz trial yake walimpatia acheze na timu ya watoto ya Sundowns na akashindwa kuprove uwezo wake
Ila nawakumbusha tena, Bwana mdogo ni Prone Injury
Asiyejua maana haambiwi maana. Pilipili iko shamba inakuwashia nini?Bado sijaelewa sababu hasa za Habibu Kyombo kusajiliwa na Simba , timu mbili alizochezea zimeshuka daraja , sasa labda Timu yetu ya Simba itufichulie kama inamlipa fadhila baada ya kushiriki kuzihujumu timu za Mbao na Mbeya Kwanza , kama alitumwa kufanya hivyo .
Nakaribisha maswali .