ZagaZagarino
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 431
- 589
ZFF WAWEKA NGUMU WACHEZAJI KUTOKA TANZANIA BARA.
[emoji1542]KWA LIGI YA ZANZIBAR MCHEZAJI KUTOKA BARA ANASAJILIWA KUWA NI MCHEZAJI WA KIGENI
[emoji3502]Bodi inayosimamia Ligi kuu ya Zanzibar (PBZ) Imepigisha kanuni mpya za Usajili kuwa Klab yoyote itakayomsaini mchezaji kutoka Tanzania bara ataingizwa kwenye system kama Mchezaji wakigeni kwa maana lazima akatiwe Kibali cha kuishi Zanzibar ambacho kina gharimu pesa za kitanzania laki 5,
Pia kwenye klab Moja hawatakiwi kuzidi wachezaji 9
[emoji3502]Kwa ligi ngazi ya Mkoa Mvhezaji kutoka Tanzania bara atakatiwa kibali cha kuishi na kufanya kazi kwa msimu. Mmoja ambacho kita gharimu Pesa za kitanzania Laki 3
[emoji1542]KWA TANZANIA BARA MCHEZAJI KUTOKA ZANZIBAR ANASAJILIWA KUWA NI MZAWA
Je hii inatengeneza Usawa wa ajira ama Ubaguzi wa Ajira ?
Au lengo ni nini ?
Hii kitaalamu inakuwaje kwa kanuni Mpya hizo kwa msimu huu wa 23/24 zimeanza kazi
@zffzanzibar x @tanfootball
[emoji1542]KWA LIGI YA ZANZIBAR MCHEZAJI KUTOKA BARA ANASAJILIWA KUWA NI MCHEZAJI WA KIGENI
[emoji3502]Bodi inayosimamia Ligi kuu ya Zanzibar (PBZ) Imepigisha kanuni mpya za Usajili kuwa Klab yoyote itakayomsaini mchezaji kutoka Tanzania bara ataingizwa kwenye system kama Mchezaji wakigeni kwa maana lazima akatiwe Kibali cha kuishi Zanzibar ambacho kina gharimu pesa za kitanzania laki 5,
Pia kwenye klab Moja hawatakiwi kuzidi wachezaji 9
[emoji3502]Kwa ligi ngazi ya Mkoa Mvhezaji kutoka Tanzania bara atakatiwa kibali cha kuishi na kufanya kazi kwa msimu. Mmoja ambacho kita gharimu Pesa za kitanzania Laki 3
[emoji1542]KWA TANZANIA BARA MCHEZAJI KUTOKA ZANZIBAR ANASAJILIWA KUWA NI MZAWA
Je hii inatengeneza Usawa wa ajira ama Ubaguzi wa Ajira ?
Au lengo ni nini ?
Hii kitaalamu inakuwaje kwa kanuni Mpya hizo kwa msimu huu wa 23/24 zimeanza kazi
@zffzanzibar x @tanfootball