Umeanza lini kufuatilia mpira?Leo mchezaji Bora wa mechi Kati ya Simba na Dodoma jini ametangazwa kabla ya mpira kumalizika!! Binafsi naona kama wanaingia na jina mfukoni...utamtangazaje mchezaji kabla ya mpira kumalizika?! Vipi akishatangazwa hivyo halafu akatolewa Kwa Kadi nyekundu kwa makosa ya nidhamu....ataendelea kuwa mchezaji bora?!
Kama kweli wangekua fair mchezaji Bora ni refa aliye wazawadia Simba Penalty ya bahasha.Leo mchezaji Bora wa mechi Kati ya Simba na Dodoma jini ametangazwa kabla ya mpira kumalizika!! Binafsi naona kama wanaingia na jina mfukoni...utamtangazaje mchezaji kabla ya mpira kumalizika?! Vipi akishatangazwa hivyo halafu akatolewa Kwa Kadi nyekundu kwa makosa ya nidhamu....ataendelea kuwa mchezaji bora?!
Ndiyo huwa hivyo mkuu, hata EPL sometimes SkySports humwekea hadi caption kwenye TV huku mechi ikiwa katika dakika za mwisho.Leo mchezaji Bora wa mechi Kati ya Simba na Dodoma jini ametangazwa kabla ya mpira kumalizika!! Binafsi naona kama wanaingia na jina mfukoni...utamtangazaje mchezaji kabla ya mpira kumalizika?! Vipi akishatangazwa hivyo halafu akatolewa Kwa Kadi nyekundu kwa makosa ya nidhamu....ataendelea kuwa mchezaji bora?!
Mtasema sana zamu hii,bado hamjasemaKama kweli wangekua fair mchezaji Bora ni refa aliye wazawadia Simba Penalty ya bahasha.
Maana aina Ile ya penalty inabidi mshipa wa aibu ukatike ndio uitoe.
Sisi msemo wetu Yanga Bingwa na ndio maana tukikutana tuna wapasua za kutosha ata refa akizipunguza uwa Zina baki za kutupatia point tatu.Mtasema sana zamu hii,bado hamjasema
Ilikuwa dakika ya ngapi Acha utopwinyoLeo mchezaji Bora wa mechi Kati ya Simba na Dodoma jini ametangazwa kabla ya mpira kumalizika!! Binafsi naona kama wanaingia na jina mfukoni...utamtangazaje mchezaji kabla ya mpira kumalizika?! Vipi akishatangazwa hivyo halafu akatolewa Kwa Kadi nyekundu kwa makosa ya nidhamu....ataendelea kuwa mchezaji bora?!
Labda bingwa wa kucheza draftiSisi msemo wetu Yanga Bingwa na ndio maana tukikutana tuna wapasua za kutosha ata refa akizipunguza uwa Zina baki za kutupatia point tatu.
Nyie wanawake mambo ya mpira wengi bado hamjui. Nimejisikia aibu kwa huu uzi wako.Leo mchezaji Bora wa mechi Kati ya Simba na Dodoma jini ametangazwa kabla ya mpira kumalizika!! Binafsi naona kama wanaingia na jina mfukoni...utamtangazaje mchezaji kabla ya mpira kumalizika?! Vipi akishatangazwa hivyo halafu akatolewa Kwa Kadi nyekundu kwa makosa ya nidhamu....ataendelea kuwa mchezaji bora?!
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaKama kweli wangekua fair mchezaji Bora ni refa aliye wazawadia Simba Penalty ya bahasha.
Maana aina Ile ya penalty inabidi mshipa wa aibu ukatike ndio uitoe.