Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Jioni moja ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa, Simba Vs FC Platnum, mechi ya marudiano ya Klabu Bingwa Afrika, matokeo yakiwa ni 0-0 Simba wanafanikiwa kupata penati, wachezaji wa Platnum wanashinikiza kugomea mechi lakini baadae wanakubali kurejea uwanjani, wanajaribu kumgasi mpigaji wa penati ili kumuondoa mchezoni na lengo likiwa akose penati ile.
Lakini katika utulivu wa hali ya juu, Erasto Edward Nyoni anafunga penati ile na kuwarudisha Simba mchezoni na hatimaye kufuzu hatua ya makundi.
Ni wachezaji wachache sana wenye utulivu mkubwa linapokuja swala la kupiga penati hasa penati ya maamuzi au penati muhimu.
Mchezaji gani unaamini ni bora sana kwenye upigaji wa penati?
Karibuni...
Lakini katika utulivu wa hali ya juu, Erasto Edward Nyoni anafunga penati ile na kuwarudisha Simba mchezoni na hatimaye kufuzu hatua ya makundi.
Ni wachezaji wachache sana wenye utulivu mkubwa linapokuja swala la kupiga penati hasa penati ya maamuzi au penati muhimu.
Mchezaji gani unaamini ni bora sana kwenye upigaji wa penati?
Karibuni...