mchezaji huyu wa taifa stars afundishwe adabu;akome kutuzalilisha watanzania


Uko sahihi Mwita nilikuwa na mawazo kama ya kwako nilichoelewa mimi Abdulhalim alimfuata jamaa wamalizane kwa kuwa ndio mpira ulivyo. Lakini jamaa ndio akaanza kumaindi.

Inawezekana jana ana mapungufu kidogo kwenye nidhamu na anatakiwa ajirekebishe ila binafsi nimemkubali ana kiwango cha holding midfielder!!
 

Ah bwana weh, si unajua wabongo na ile 70% ya kufuata upepo?
 

Mze wa Docebit vipi tena? ulianalia mechi wapi? au projector ilikuwa inaonyesha lateral images???😕
 
Yule bw mdogo akiendelea hivyo bac hata last longa....kama diof vile!!

Mkuu mbona Diouf is still lasting long na wiki iliyopita kafunga goli na blackburn? au una maana gani?
 
Kiukweli yule dogo soka inaijua may be tatizo kubwa nililoona mimi ni kale katabia ka kujiona matawi ya juu sana. wakati anahojiwa na mtangazaji ni matamashi yake ni wazi ya kuonyesha ubabe fulani..tofauti kabisa alivyo-behavu Mrisho Ngasa he was polite na aliongea jambo la msingi kuwa mechi ilikuwa ngumu na matokeo ndio yalivyokuwa. Nadhani wachezaji wetu wanatakiwa kupata wataalam wa ushauri nasaha kuhusu mambo mbali mbali na jinsi ya ku-behave once wanapokuwa katika level za juu za uchezaji wao.
 
michezaji mihuni kazi kuvuta bange tu hakuna lolote pale ..
 

Its true, abdulhalim hana kosa, alichofanya alienda kumpa hi baada ya game yule mjinga akamsukuma na kumpa maneno ya ukali sasa mlitegemea dogo afanye nini?

Mjue hata hawa Professionals baadhi yao pia ni washamba, mi nilifuatilia dogo hana kosa lolote.
 
Ingawa sijaona tukio wala mechi yenyewe, kijana anayo haki ya ku-behave vile anavyoona inafaa as long as anajua consequences. Otherwise sioni cha kujadili hapa.
 
Ingawa sijaona tukio wala mechi yenyewe, kijana anayo haki ya ku-behave vile anavyoona inafaa as long as anajua consequences. Otherwise sioni cha kujadili hapa.

Ni kweli kama hukuona, then huna cha kujadili... walioona wahca wajadili!!
 
Kila ktk maisha yako unachokijadili umekiona??

Hapa tunaongelea Abdulhalim mchezaji wa taifa stars... turudi kwenye mada

  • alicheza vizuri sana
  • ana umri swafi wa kujiendeleza
  • anahitaji msaada kidogo kama mtoa mada alivyosema ingawa mimi sikuona utovu wa nidhamu kama ambao dindane alionyesha siku ya mechi
 
Dodo ni noma anapiga mpira wa europe hatakiwi kuwepo hapa, nafikiri huyo ni mchezaji atakae tutoa kwa kucheza ligi/timu kubwa uropa, kikubwa TFF wanapotafuta kocha mpya watafute na mtaalam wa saikolojia. tusiwaache wachezaji wajirekebishe wenyewe, Pia haisaidii sisi kujifanya hatuoni matatizo ya nidhamu yaliyopo YAPO tena ni makubwa sana, Tukumbushane kidogo tu kadi tulizo pata CHALENJI, kadi ya Boban iliyo wagharimu Simba na ile ya juzi ya Ngasa Hawa(Boban na Ngasa) hawakutakiwa "kuongea" na mshika kibendela kwa namna walivyofanya, Kama juzi Ngasa angekua na kadi ya njano mapema kwa upuuzi wake ingekuwa nyekundu. Tunaishia kuraumu waamuzi wa kibongo. Ninaaamini muamuzi yeyote ANAEFUATA sheria (sio waamuzi wengi wa ligi kuu Tz) atatupa kadi nyingi sana.
 
really yule mchezaji aliboa kwani hata baada ya mechi wakati akihojiwa na mtangazaji alikuwa akijibu kwa lugha ya kijeuri na kama alikuwa akiwadharau wa ivory coast wakati alitakiwa kuwarespect kwani vyovyote vile wale wako juu na hawakuwa na mchezo wowote mbaya na kama kuna jambo baya linatokea mwishoni mwa mchezo watu mnapeana mikono na kusameheana
the guy is a fool
nafikiri wachezai wetu wanahitaji sana kufundishwa suala zima la nidhamu kwani waweza kuwa mchezaji mzuri lakini nidhamu ikakukosesha nafasi
 

Halafu na wewe PDIDY,

Yaani huyu ndio umeona anatudhalilisha, hao viongozi wa soka je? na hao viongozi huko jikoni je?
 
nahisi malaika amekuleta;nilitaaka kumwonglea alivyokuwa anajibu kihuni kama amepata ganja;nahisi atakuwa wale wale;bila ndumu game aipandi;

Pdidy, na mimi nilikuwa nahisi hivyo hivyo kuwa huyu jamaa lazima anatumia!!
 
Tatizo la wabongo kweli wanafuata upepo, aliyeangalia mpira atabaini kuwa Hamoud hakufanya jambo baya. Alimchezea rafu Dindane akakasirika akamuomba msamaha jamaa akakata msamaha mpira ulivyoisha akaenda tena kumuomba msamaha still Dindane akawa hataki
 
Siyo huyo mngazija wa watu tu...
Tumeshaona kina zidane wakichezewa rafu na kisha palepale chini wanalipiza kwa viwiko...
Yeye si wa kwanza.
Kwa mtu yeyote aliyewahi kucheza mpira atakuwa na jibu la kutosha coz ukiwa uwanjani huku damu ikiwa inachemka unaweza kufanya maamuzi ambayo ukija kaa baadae unaweza kujiuliza hv yule aliyefanya upumbavu ule ni mimi kweli?
So msimlaumu dogo.
atafutwe mtaalam wa kuwaweka sawa wachezaji akili zao na tempa zao.
 

safi mwanaspoti... ngoja na balantanda naye aje atoe ya kwake... sijui watu wengine waliangalia mpira gani... Inawezekana kabisa baadhi ya Tivii waligeuza images kama kioo

Gangchoma... umesomeka
 



Unajuwatangu nilipoanza kuisoma hii thread kinishahisi hichi kitu (choyo cha wapi anatoka na nani mtu mwenewe).
Hongera kwa kutupa upande wa pili wa sarafu.
 
Unajuwatangu nilipoanza kuisoma hii thread kinishahisi hichi kitu (choyo cha wapi anatoka na nani mtu mwenewe).
Hongera kwa kutupa upande wa pili wa sarafu.

Mkuu mbona unaleta tena yale mambo yetu na bara na visiwani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…