Hilo ndio tatizo kubwa kwetu sisi wadanganyika tunao vizuri vya wenzetu kuliko vya kwetu dogo kacheza vizuri mpeni shavu sio kumponda kwasababu kacheza na akina drogba lakini nilize kitu munamfaham droba kwa nyodo au ndio hivyo tena?wabongo bado tuko nyuma kweeeeeli bado tunawafagilia wageni mpaka leo?