Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Simba, klabu yangu pendwa iliwahi kuingia kwenye mzozo kama huu na kiungo fundi wa mpira marehemu Method Mogella, Method alikuwa fundi hasa kiungo wa chini lakini baadae alitorokea Yanga. Mzozo ulikuwa mkubwa t.
Simba iliingia mzozo na Deo Njohole ambaye alienda kujiunga Yanga.
Simba iliingia mzozo na marehemu Hamis Gaga Gagarino akaenda Yanga.
Simba iliingia mgogoro na Hassan Ramadhan Kessy akaenda Yanga.
Simba iliingia mgogoro na Ramadhan Singano Messi akaenda Azam.
Leo mnashangaa mgogoro wa Yanga na Feitoto, mnaukuza utadhani ndio wa kwanza kutokea. Jinga kweli.
Simba iliingia mzozo na Deo Njohole ambaye alienda kujiunga Yanga.
Simba iliingia mzozo na marehemu Hamis Gaga Gagarino akaenda Yanga.
Simba iliingia mgogoro na Hassan Ramadhan Kessy akaenda Yanga.
Simba iliingia mgogoro na Ramadhan Singano Messi akaenda Azam.
Leo mnashangaa mgogoro wa Yanga na Feitoto, mnaukuza utadhani ndio wa kwanza kutokea. Jinga kweli.