Naomba nisaidieni hii kisheria za mpira inakuaje, Dirisha dogo la usajili Ligi kuu Tanzania bara liliisha tarehe 15 Jan 2020, lakini Morrison aliingia nchini 17 Jan 2020.
Kwa tarh hiyo inamaana kua Morison alisajiliwa nje ya muda wa Dirisha la usajili, maana kabla ya mchezaji kusajili kuna kumuombea vibali vya kazi ndipo asalijiliwe kwenye mfumo.
Kama ikajulikana Yanga walimsajili nje ya muda wa usajili. Je, Yanga wanaweza wakapokonywa point zote za mechi alizocheza Morrison au sheria inasemaje?
Kwa tarh hiyo inamaana kua Morison alisajiliwa nje ya muda wa Dirisha la usajili, maana kabla ya mchezaji kusajili kuna kumuombea vibali vya kazi ndipo asalijiliwe kwenye mfumo.
Kama ikajulikana Yanga walimsajili nje ya muda wa usajili. Je, Yanga wanaweza wakapokonywa point zote za mechi alizocheza Morrison au sheria inasemaje?