TFF hawakuliona hilo mwanzo? Kama waliliona kwanini hawakuchukua hatua mpaka lilipoibuka hili?Kisheria yanga wanatakiwa waadhibiwe na kushushwa daraja lakini kwa sababu mpira wetu unaendeshwa kisiasa hilo halitatokea
kuliona au kutoliona hakuhalalishi makosa kuna kanuni ambazo zinaongoza soka kwa sheria za chama husika lakini kuna sheria ambazo zitaibana tff ikibainika ilifanya uzembe kwa kifupi tff wamekuwa wakiziogopa hivi vilabu viwili pale vinavyovunja sheriaTFF hawakuliona hilo mwanzo? Kama waliliona kwanini hawakuchukua hatua mpaka lilipoibuka hili?
Conclusively tunaweza kusema TFF watafanya maamuzi katika sakata lililopo bila kugukua makaburi kwasababu yatawanukia na wao.kuliona au kutoliona hakuhalalishi makosa kuna kanuni ambazo zinaongoza soka kwa sheria za chama husika lakini kuna sheria ambazo zitaibana tff ikibainika ilifanya uzembe kwa kifupi tff wamekuwa wakiziogopa hivi vilabu viwili pale vinavyovunja sheria
sasa hivi zinapambana timu kubwa, ni rahisi kufukia makaburi kama timu kubwa inapambana na timu ndogo.Conclusively tunaweza kusema TFF watafanya maamuzi katika sakata lililopo bila kugukua makaburi kwasababu yatawanukia na wao.
Nani anahusika na kukagua na ufuatiliaji wa usajili wa wachezaji? Kwani Hawa tff hakulijua Hili??Kisheria yanga wanatakiwa waadhibiwe na kushushwa daraja lakini kwa sababu mpira wetu unaendeshwa kisiasa hilo halitatokea
Ko unataka kusema Yanga walimuombea mchezaji kibali cha kufanya kazi nchini kabla ya mchezaji kutua nchini?Morrison kaja tarehe 17 na usajili ulifungwa tarehe 15.
1. Je mkataba baina ya Yanga na Morrison ulifanyika baada ya Morrison kufika Tanzania au walisainishana kwa njia za kimtandao kabla hata ya kuja hapa Tanzania?
2. Je Yanga waliwasilisha jina la Morrison kuwa ni mchezaji wao kabla ya dirisha kufungwa au baada ya dirisha kufungwa?
3. Je huo mkataba waliosainishana unasema kuwa Morrison amepewa kandarasi ya muda gani? Maana hapa ndipo tatizo lilipoanzia na kupelekea kufikia malumbano baina ya Yanga na Morrison
Nauliza maswali ili nijue swala lilivyo. Nawewe unakuja unaniuliza swali.Ko unataka kusema Yanga walimuombea mchezaji kibali cha kufanya kazi nchini kabla ya mchezaji kutua nchini?
kuna mpumafu mmoja anaitwa magori ndiye anaye wadanganya na kuwachanganya mikia fc
Sikujua ka unauliza swali, mwenyewe ndo maana nimeuliza ili nipate ufafanuzi kwa wanaolijua vzr sakata hiliNauliza maswali ili nijue swala lilivyo. Nawewe unakuja unaniuliza swali.
huyu ni kanjanja tuu, uki re call memory yako vizuri hata raisi alimfukuza kazi a.k.a 'kumtumbua' kutoka kule NSSF alipokuwa mkurugezi yeye na lile jizi linguine lililo pelekwa ubalozin, hivyo huyo jamaa ana sifa nyingine ya 'ujizi'Mpe heshima yake bwana, mtu mwenye cv kubwa kama yule Mpaka Rais wa inchi alimwamini unamwitaje mpumbavu?
Inshu hapa ni huo mkataba wa kwanza wa miezi 6,ulikuwa halali,? kutokana na kuonekana kuwa aliingia nchini tarehe 17,wakati dirisha lilifungwa 15? Kama mkataba huo ulikuwa batili, basi hata huo wa miaka miwili uliongezwa juu ya huo batili nao, utakuwa batili tu!!Morrison kaja tarehe 17 na usajili ulifungwa tarehe 15.
1. Je mkataba baina ya Yanga na Morrison ulifanyika baada ya Morrison kufika Tanzania au walisainishana kwa njia za kimtandao kabla hata ya kuja hapa Tanzania?
2. Je Yanga waliwasilisha jina la Morrison kuwa ni mchezaji wao kabla ya dirisha kufungwa au baada ya dirisha kufungwa?
3. Je huo mkataba waliosainishana unasema kuwa Morrison amepewa kandarasi ya muda gani? Maana hapa ndipo tatizo lilipoanzia na kupelekea kufikia malumbano baina ya Yanga na Morrison
huyu ni kanjanja tuu, uki re call memory yako vizuri hata raisi alimfukuza kazi a.k.a 'kumtumbua' kutoka kule NSSF alipokuwa mkurugezi yeye na lile jizi linguine lililo pelekwa ubalozin, hivyo huyo jamaa ana sifa nyingine ya 'ujizi'
Kwa maana hiyo Yanga walimchezesha Morisson bila mkataba halali je hili nalo ni kosa la nani ??Inshu hapa ni huo mkataba wa kwanza wa miezi 6,ulikuwa halali,? kutokana na kuonekana kuwa aliingia nchini tarehe 17,wakati dirisha lilifungwa 15? Kama mkataba huo ulikuwa batili, basi hata huo wa miaka miwili uliongezwa juu ya huo batili nao, utakuwa batili tu!!
4. Je TFF hawakuongeza muda wa dirisha la usajili baaada ya hiyo 15 ufika mwisho?Morrison kaja tarehe 17 na usajili ulifungwa tarehe 15.
1. Je mkataba baina ya Yanga na Morrison ulifanyika baada ya Morrison kufika Tanzania au walisainishana kwa njia za kimtandao kabla hata ya kuja hapa Tanzania?
2. Je Yanga waliwasilisha jina la Morrison kuwa ni mchezaji wao kabla ya dirisha kufungwa au baada ya dirisha kufungwa?
3. Je huo mkataba waliosainishana unasema kuwa Morrison amepewa kandarasi ya muda gani? Maana hapa ndipo tatizo lilipoanzia na kupelekea kufikia malumbano baina ya Yanga na Morrison
Mwizi asipoonekana wakati anaiba vitu supermarket, haihalalishi tendo la kuiba. Baada ya kureplay video iliyorekodiwa na security camera na kumuona mwizi akifanya yake, adhabu inamstahili, hata kama awali walinzi hawakugunduaTFF hawakuliona hilo mwanzo? Kama waliliona kwanini hawakuchukua hatua mpaka lilipoibuka hili?