Mchezaji Ladack Chasambi kutolewa Namungo kwa mkopo

Mchezaji Ladack Chasambi kutolewa Namungo kwa mkopo

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Tetesi zinasema katika dirisha dogo, mchezaji Ladack Chasambi anatarajiwa kutua Namungo sc. Imeelezwa Namungo wameshatuma maombi ya kumnasa kinda huyo katika kujiimarisha na kuongeza nguvu kikosi hicho.
GjHpFJ5WcAAPfb9.jpeg
 
Tetesi zinasema katika dirisha dogo, mchezaji Ladack Chasambi anatarajiwa kutua Namungo sc. Imeelezwa Namungo wameshatuma maombi ya kumnasa kinda huyo katika kujiimarisha na kuongeza nguvu kikosi hicho.
Uongo! Uongo!! Uongo!!!
 
Back
Top Bottom