Mchezaji Mamadou Sakho na Mkewe watinga Bunge la JMT, Dodoma

Mchezaji Mamadou Sakho na Mkewe watinga Bunge la JMT, Dodoma

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
NYOTA wa Klabu ya Crystal Palace na timu ya Taifa ya Ufaransa, Mamadou Sakho na Mkewe Majda Sakho wamewasili Bungeni kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali za Kibunge. Mamadou Sakho ni Balozi wa Hiari Utalii Tanzania.

Sakho Bungeni.png
 
Hv kwann ndugu yetu Sama Goal, hapewi heshima kama hii na yeye anatuwakilisha vyema huko ughaibuni???
 
Hv kwann ndugu yetu Sama Goal, hapewi heshima kama hii na yeye anatuwakilisha vyema huko ughaibuni???

Samatta mbona ana heshima kubwa sana bongo kuliko huyu Mamadou,, japo hana mafanikio kama ya mamadou
 
Back
Top Bottom