Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Huyo manzi ni gold digger, mtanisahihishaNYOTA wa Klabu ya Crystal Palace na timu ya Taifa ya Ufaransa, Mamadou Sakho na Mkewe Majda Sakho wamewasili Bungeni kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali za Kibunge. Mamadou Sakho ni Balozi wa Hiari Utalii Tanzania.
Kaenda kumuona bwana jobo by the way ana mke mzuriNYOTA wa Klabu ya Crystal Palace na timu ya Taifa ya Ufaransa, Mamadou Sakho na Mkewe Majda Sakho wamewasili Bungeni kwa ajili ya kujionea shughuli mbalimbali za Kibunge. Mamadou Sakho ni Balozi wa Hiari Utalii Tanzania.
Huyo manzi ni gold digger, mtanisahihisha
Heshima anapata labda useme wewe tumpe heshima nyingine hipi?Hv kwann ndugu yetu Sama Goal, hapewi heshima kama hii na yeye anatuwakilisha vyema huko ughaibuni???
Hebu zitaje hizo heshima anazopata..,Heshima anapata labda useme wewe tumpe heshima nyingine hipi?
Angeitwa asingekuwa anapuyanga bongo.Hivi hajaitwa timu ya Taifa ya Ufaransa?
Sio blonde ili uwe blonde lazima uwe na nature coroled hairMke wake ni blonde haswaa tena big tits
View attachment 1804572
Hv kwann ndugu yetu Sama Goal, hapewi heshima kama hii na yeye anatuwakilisha vyema huko ughaibuni???
Mkuu ondoa neno "h"mahali pasipo husikaSio blonde ili uwe blonde lazima uwe na nature coroled hair
halafu blonde haswa huwa pure white
All in All ni bomba hana kasura poa sana
hiyo booty na good figure mi mpangilio wa workout na FEDHA pia inachangia
Mke wake ni blonde haswaa tena big tits
View attachment 1804572
Huyu mwamba Ni black kweli kweliMke wake ni blonde haswaa tena big tits
View attachment 1804572