Tuta Absoluta Kantangaze
Member
- Nov 2, 2023
- 83
- 251
kwa mfano wewe ungebahatika kuwa na nafasi yake,ungechagua Italy au Tanzania?Kuna huyu ni muitalia ambae amezaliwa dodoma tz na ni muwakilishi wa Italia kwenye olimpic
Ningechagua nchi nayoishi kwa wakati huo au niliyoishi kwa muda mrefuK
kwa mfano wewe ungebahatika kuwa na nafasi yake,ungechagua Italy au Tanzania?
Amulike- Mungu ameniangaza,André-Frank Zambo Anguissa (ANGWISA) Nimeukumbuka huu wimbo wa muimbaji mmoja aliimba alikuwa anasema Angwisa....na huyu mchezaji naona kabisa ni mnyaki sijui wa Kyela,Tukuyu au Mbozi. Mi sijui.
Hawa ndo mngewarudisha na kuwapa uraia. Zamani naambiwa alikuwapo mnaijeria mmoja wa Kinyakyusa Emmanuel Amunike. Simba wanamchezaji mmoja mhaya somebody Mutalemwa.
AiseeAndré-Frank Zambo Anguissa (ANGWISA) Nimeukumbuka huu wimbo wa muimbaji mmoja aliimba alikuwa anasema Angwisa....na huyu mchezaji naona kabisa ni mnyaki sijui wa Kyela,Tukuyu au Mbozi. Mi sijui.
Hawa ndo mngewarudisha na kuwapa uraia. Zamani naambiwa alikuwapo mnaijeria mmoja wa Kinyakyusa Emmanuel Amunike. Simba wanamchezaji mmoja mhaya somebody Mutalemwa.
kule Uruguay yupo Lugano ma Argentina yupo Kiazi.André-Frank Zambo Anguissa (ANGWISA) Nimeukumbuka huu wimbo wa muimbaji mmoja aliimba alikuwa anasema Angwisa....na huyu mchezaji naona kabisa ni mnyaki sijui wa Kyela,Tukuyu au Mbozi. Mi sijui.
Hawa ndo mngewarudisha na kuwapa uraia. Zamani naambiwa alikuwapo mnaijeria mmoja wa Kinyakyusa Emmanuel Amunike. Simba wanamchezaji mmoja mhaya somebody Mutalemwa.