Mchezaji mzuri asifiwe uwanjani sio kutua uwanja wa ndege au kutambulishwa

Mchezaji mzuri asifiwe uwanjani sio kutua uwanja wa ndege au kutambulishwa

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kulikuwa na akina Okwa, Jobe, Funga Funga, Oprah na wengine ambao tuliwasifia sana ni Akpan, Sawadogo, Babacar, Chikwende, Micquissone tukasema mh safari hii mtu atakula 10 hakyamungu.

Walipoanza tu msimu kila cku zilipokuwa zinakwenda tukaanza kugombana wenyewe kwa wenyewe, mfano Jobe ukimcheki kwenye YouTube mabao anayofunga na alichokuwa akikifanya hapa kwenye ligi yetu ni mzaha mtupu.

Leo kila mchezaji akitambulishwa semaji la dunia linaandika porojo nyingi sana ili kuwatia uzuzu mashabiki wake.

Hao wachezaji wanaweza kuwa wazuri kweli lakini mna kitengo kama cha Yang africa? Wao wana kitengo au idara kabisa inayoshughulika na ushirikina, wana idara kabisa inayoshughulika na kuchota nyota za wachezaji wa timu pinzani, wana idara ambayo inaharibu brand na mipango ya timu pin zani.

Wachezaji wenu mna mipango ya kuwazindika ili wasiharibiwe?

Wachezaji wenyewe kwa wenyewe wanaibiana soksi na vitu vingine ili wauane viwango, hao wachezaji wasipofanyiwa dua nzito, ule uwanja wa Bunju usiposafishwa mtaendelea kulia kila mwaka.

Hasifiwi mchezaji hadi aonekane uwezo wake dimbani, acheni ushamba
 
Kulikuwa na akina Okwa, Jobe, Funga Funga, Oprah na wengine ambao tuliwasifia sana ni Akpan, Sawadogo, Babacar, Chikwende, Micquissone tukasema mh safari hii mtu atakula 10 hakyamungu.

Walipoanza tu msimu kila cku zilipokuwa zinakwenda tukaanza kugombana wenyewe kwa wenyewe, mfano Jobe ukimcheki kwenye YouTube mabao anayofunga na alichokuwa akikifanya hapa kwenye ligi yetu ni mzaha mtupu.

Leo kila mchezaji akitambulishwa semaji la dunia linaandika porojo nyingi sana ili kuwatia uzuzu mashabiki wake.

Hao wachezaji wanaweza kuwa wazuri kweli lakini mna kitengo kama cha Yang africa? Wao wana kitengo au idara kabisa inayoshughulika na ushirikina, wana idara kabisa inayoshughulika na kuchota nyota za wachezaji wa timu pinzani, wana idara ambayo inaharibu brand na mipango ya timu pin zani.

Wachezaji wenu mna mipango ya kuwazindika ili wasiharibiwe?

Wachezaji wenyewe kwa wenyewe wanaibiana soksi na vitu vingine ili wauane viwango, hao wachezaji wasipofanyiwa dua nzito, ule uwanja wa Bunju usiposafishwa mtaendelea kulia kila mwaka.

Hasifiwi mchezaji hadi aonekane uwezo wake dimbani, acheni ushamba
Umeanza vizuri ukamaliza ovyo kama kawaida yako. Anyway Kwa issue ya promo Ahmed Ally ni adui wa Simba Kila mwaka.
 
Umeanza vizuri ukamaliza ovyo kama kawaida yako. Anyway Kwa issue ya promo Ahmed Ally ni adui wa Simba Kila mwaka.
Hao wachezaji wanaowaponda ndio kesho wakitemwa na simba wao wanawakimbilia kuwasajili. Sasa hivi wamekuwa kama Dampo la simba la kutupia uchafu wake.
 
Kulikuwa na akina Okwa, Jobe, Funga Funga, Oprah na wengine ambao tuliwasifia sana ni Akpan, Sawadogo, Babacar, Chikwende, Micquissone tukasema mh safari hii mtu atakula 10 hakyamungu.

Walipoanza tu msimu kila cku zilipokuwa zinakwenda tukaanza kugombana wenyewe kwa wenyewe, mfano Jobe ukimcheki kwenye YouTube mabao anayofunga na alichokuwa akikifanya hapa kwenye ligi yetu ni mzaha mtupu.

Leo kila mchezaji akitambulishwa semaji la dunia linaandika porojo nyingi sana ili kuwatia uzuzu mashabiki wake.

Hao wachezaji wanaweza kuwa wazuri kweli lakini mna kitengo kama cha Yang africa? Wao wana kitengo au idara kabisa inayoshughulika na ushirikina, wana idara kabisa inayoshughulika na kuchota nyota za wachezaji wa timu pinzani, wana idara ambayo inaharibu brand na mipango ya timu pin zani.

Wachezaji wenu mna mipango ya kuwazindika ili wasiharibiwe?

Wachezaji wenyewe kwa wenyewe wanaibiana soksi na vitu vingine ili wauane viwango, hao wachezaji wasipofanyiwa dua nzito, ule uwanja wa Bunju usiposafishwa mtaendelea kulia kila mwaka.

Hasifiwi mchezaji hadi aonekane uwezo wake dimbani, acheni ushamba
Na wewe kichaa wazimu wako peleka huko nyuma mwiko
 
Back
Top Bottom