Dah!! Ugonjwa Mbaya sana huu... Nimeshuhudia mtu wangu wa karibu akipata shambulio la Moyo, usiombe, Dakika 1 ni nyingi kuweza kufanya chochote kujisaidia, ama kutoa taarifa ama kuomba huduma ya kwanza, hafu kadri umri unavyoenda ndo tatizo linakua kubwa...!