bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Mchezaji wa Timu ya Vijana chini ya Miaka 17 Wa Congo Brazzaville anayejulikana kwa Langa Leccy Bercy na ambaye alifunga goli la Ushindi dakika za Lala Salama Dhidi Ya Serengeti Boys Pale Brazzaville,anatarajiwa kufanyiwa Vipimo Vyake Siku Ya Leo.
Mchezaji huyo alikatiwa Rufaa na TFF kwa kigezo cha kuwa na Umri Mkubwa Zaidi ya Miaka 17
Vipimo hivyo Vitafanyika Leo Nchini Misri Katika tukio hilo Tff imetakiwa kutuma daktari Wawili ili kudhibitisha majibu yatakayopatikana na pia Tff inatakiwa kulipia Gharama zote za Mchakato huo
Endapo Mchezaji huyo atabainika kweli alidanganya umri Timu Ya Serengeti boys inaweza kuingia moja kwa moja katika ushiriki wa michuano hiyo kwa kombe la Vijana Afrika chini Ya Umri wa Miaka 17 na pia Shirikisho la Soka La Congo brazzaville kupata adhabu hata ya kufungiwa kushiriki michezo hiyo
Tanzania nasisi tulishawai kukumbwa na Adhabu hiyo baada ya Zimbabwe kutukatia Rufaa dhidi ya Mchezaji wetu Nurdin Bakari(kama kumbukumbu ziko vizuri)
Tutazidi kujulishana zaidi pindi tutakapopata matokeo ya Vipimo hivyo.
Mchezaji huyo alikatiwa Rufaa na TFF kwa kigezo cha kuwa na Umri Mkubwa Zaidi ya Miaka 17
Vipimo hivyo Vitafanyika Leo Nchini Misri Katika tukio hilo Tff imetakiwa kutuma daktari Wawili ili kudhibitisha majibu yatakayopatikana na pia Tff inatakiwa kulipia Gharama zote za Mchakato huo
Endapo Mchezaji huyo atabainika kweli alidanganya umri Timu Ya Serengeti boys inaweza kuingia moja kwa moja katika ushiriki wa michuano hiyo kwa kombe la Vijana Afrika chini Ya Umri wa Miaka 17 na pia Shirikisho la Soka La Congo brazzaville kupata adhabu hata ya kufungiwa kushiriki michezo hiyo
Tanzania nasisi tulishawai kukumbwa na Adhabu hiyo baada ya Zimbabwe kutukatia Rufaa dhidi ya Mchezaji wetu Nurdin Bakari(kama kumbukumbu ziko vizuri)
Tutazidi kujulishana zaidi pindi tutakapopata matokeo ya Vipimo hivyo.