Mchezaji wa kimataifa kutoka Ghana anaswa kwenye vifusi nchini Uturuki

Mchezaji wa kimataifa kutoka Ghana anaswa kwenye vifusi nchini Uturuki

DreezyD98

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2020
Posts
1,610
Reaction score
2,874
Staa wa zamani wa vilabu ya Chelsea na Newcastle vya England Christian Atsu (31) Raia wa Ghana ambaye kwa sasa anacheza Hatayspor ya Uturuki amekwama kwenye kifusi cha jengo lililoanguka baada ya tetemeko la ardhi.

9515A629-EE7F-4342-9154-981DBA3E04AC.jpeg


Harakati za kumuokoa Atsu zinaendelea lakini kwenye tetemeko hilo lililotokea leo nchini Uturuki mitandao mbalimbali imeripoti kuwa watu zaidi ya 1400 wamefariki Dunia.

21D44617-6A75-45F3-9D0D-8CCCA97C386E.jpeg


Atsu ambaye alijiunga na Chelsea 2013 na kuishia kutolewa kwa mkopo Newcastle na Everton, alikuwa sehemu ya mchezo wa Ligi Kuu Uturuki jana kati ya timu yake ya Hatayspor dhidi ya Kasimpasa ambapo aliisaidia kupata ushindi wa 1-0 akifunga goli dakika ya 90+7.

12136859-774B-409A-BBB7-30AB46D5A592.jpeg
 
Search BBC

BBCSPORT All Sport

Christian Atsu: Ghana star 'removed from wreckage with injuries' after quake

Last updated on16 minutes ago16 minutes ago.From the sectionSport Africa

[https://ichef]Christian Atsu signed for Hatayspor in September 2022

Ghanaian winger Christian Atsu has been pulled from the rubble of a building in Hatay with injuries, his manager Mustafa Özat has told Turkish radio.

The Hatayspor player, whose career has included 107 appearances for Newcastle as well as spells at Chelsea, Everton and Bournemouth, was trapped after the earthquakes that killed at least 4,800 people in Turkey and Syria on 6 February.

ADVERTISEMENT

Hatay was one of the cities closest to the epicentre of the quake, and has suffered extensive damage. The club's sporting director Taner Savut remains in the collapsed building,

"Christian Atsu was removed from the wreckage with injuries," Özat told Turkish radio channel Radyo Gol.

"Unfortunately, our sporting director Taner Savut is still under the rubble."

Özat added: "Hatay was deeply affected. We are coming towards the end of the most dangerous hours."

Top Stories



Copyright [emoji2398] 2023 BBC. The BBC is not responsible for the content of external sites. Read about our approach to external linking.
 
Back
Top Bottom