Mchezaji wa Kombe la Dunia, Okrah Magic yuko wapi?

Mchezaji wa Kombe la Dunia, Okrah Magic yuko wapi?

mwarabu feki

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2023
Posts
811
Reaction score
1,811
Tuliaminishwa na wachambuzi kuwa Simba imelamba dume Kwa kusajili mchezaji wa timu ya taifa ya Ghana iliyokuwa inajiandaa na kombe la dunia na ikasemekana atajumuishwa kwenye kosi la Black Stars litakaloenda huko Qatar.

Sasa nawauliza wanathimba yupo wapi huyu mwamba atusaidie kuokoa jahazi linaloenda kuzama huko Casablanca?

maxresdefault(12).jpg
 
Bila kumuondoa boko pale simba team itakuwa kila siku inasajili ila wachezaji hawafanyi vizuri
Banda injury prone
Okrah injury prone
Phiri injury prone
Sakho injury prone

Amebaki baleke asipojiwahi na yeye anapewa kitu akae.
 
Back
Top Bottom