Mchezaji wa kulipwa mpira wa Kikapu Curry Steph aitembelea hifadhi Serengeti

Mchezaji wa kulipwa mpira wa Kikapu Curry Steph aitembelea hifadhi Serengeti

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Mcheza Kikapu Steph Curry anaekipiga GSW Yuko Tanzania Yeye na Mkewake.

Curry yupo na familia yake kwenye ardhi ya Tanzania katika hifadhi ya Serengeti.

Curry amekuja mapumzikoni pamoja na kusheherekea miaka 10 ya ndoa yake na mpenzi wake aitwae Ayesha.

Nasikitika Kwa Hashim Thabeet Kwa Sasa Alipo, Wakati Curry na Hashim wanatoka College Kwenye NBA, Hashim Alikuwa Namba 2 Kwa ubora kumzidi Curry, Sjui Ni Nini Kilimkuta Hashim Mpaka Akawa Hivi.​

dizzimonline_1628055985914890.jpg
 
Watetezi Wa HT hawataki kukiri Kwamba Dogo Alikuwa na MAPUNGUFU yake na hakufanya juhudi. Since alikuwa Unhardworker to make it to the NBA.

Nadhani ukiacha changamoto nyingine za nje ya uwanja, uchezaji wake ulikuwa tayari umepitwa na wakati though nadhani angekuwa Mmarekani angeendelea kubaki NBA BAK Mag3 Kocha Mkuu Nyani Ngabu
 
Hii thread ni ya Stiv ama ni kumponda Hashim....
kama ni ya Hashim tulishaelezana humu uwezo wa Hashim kwenye kikapu ni mdogo....
Mkuu sisi Watu wa basketball tunasikitika Kwa hili, Maana HT needs to get his grip on, SERIOUSLY..na hii biashara ya kugombana na watu sijui nini he should just leave that nonsense..... he needs to lay low and put some energy in what he is suppose to be doing...... He should leave the flashy kind of life to people who are already doing well in that area..... He needs to grow up both mentally and spiritually na aanze kuangalia maisha mbele na sio kuangalia only where his nose ends...... Aweke jitihada zaidi........
 
Mkuu sisi Watu wa basketball tunasikitika Kwa hili, Maana HT needs to get his grip on, SERIOUSLY..na hii biashara ya kugombana na watu sijui nini he should just leave that nonsense..... he needs to lay low and put some energy in what he is suppose to be doing...... He should leave the flashy kind of life to people who are already doing well in that area..... He needs to grow up both mentally and spiritually na aanze kuangalia maisha mbele na sio kuangalia only where his nose ends...... Aweke jitihada zaidi........
Sshv keshazeeka jitihada hazimsaidi tena...
labda aweke jitihada kwenye issue zingine...
lkn sio kikapu
 
Mbona hujasema alikua anakunywa safarii lager??
Unaweza je kusahau detail ya muhimu kama hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hashim angeingia nba miaka ya 90 angecheza misimu mingi sana. Ila ana bahati mbaya kuingia nba zama ambazo basketball ilikuwa inahama kwenda kisasa. Bigs ama nba centre players, nowdays wanahitajika wawe na skills kama za point guards wa zamani...

Hashim hizo skills hakuwa nazo na kujifunza hizo skills na kuzi master ukubwani sio kazi ndogo na zinachukua miaka mingi
 
Mbna mke wake kazeeka Kama member za JF
 
Back
Top Bottom