Vp !nmesikia thabeet kasajiliwa Don BoscombeMkuu sisi Watu wa basketball tunasikitika Kwa hili, Maana HT needs to get his grip on, SERIOUSLY..na hii biashara ya kugombana na watu sijui nini he should just leave that nonsense..... he needs to lay low and put some energy in what he is suppose to be doing...... He should leave the flashy kind of life to people who are already doing well in that area..... He needs to grow up both mentally and spiritually na aanze kuangalia maisha mbele na sio kuangalia only where his nose ends...... Aweke jitihada zaidi........
Safi...Wakuu Mcheza Kikapu Steph Curry anaekipiga GSW Yuko Tanzania Yeye na Mkewake.
Curry yupo na familia yake kwenye ardhi ya Tanzania katika hifadhi ya Serengeti.
Curry amekuja mapumzikoni pamoja na kusheherekea miaka 10 ya ndoa yake na mpenzi wake aitwae Ayesha.
Nasikitika Kwa Hashim Thabeet Kwa Sasa Alipo, Wakati Curry na Hashim wanatoka College Kwenye NBA, Hashim Alikuwa Namba 2 Kwa ubora kumzidi Curry, Sjui Ni Nini Kilimkuta Hashim Mpaka Akawa Hivi.
View attachment 1879375
Wameshika vitu adimu mkononi....nalewa kwa safari hangover natolea Kili...👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿Hadi nimepata kiu yaniiiView attachment 1879660
Hash..... Lack of seriousness and dreaming that he has achieved all while in reality he was starting his way up.Wakuu Mcheza Kikapu Steph Curry anaekipiga GSW Yuko Tanzania Yeye na Mkewake.
Curry yupo na familia yake kwenye ardhi ya Tanzania katika hifadhi ya Serengeti.
Curry amekuja mapumzikoni pamoja na kusheherekea miaka 10 ya ndoa yake na mpenzi wake aitwae Ayesha.
Nasikitika Kwa Hashim Thabeet Kwa Sasa Alipo, Wakati Curry na Hashim wanatoka College Kwenye NBA, Hashim Alikuwa Namba 2 Kwa ubora kumzidi Curry, Sjui Ni Nini Kilimkuta Hashim Mpaka Akawa Hivi.
View attachment 1879375
Wakuu Mcheza Kikapu Steph Curry anaekipiga GSW Yuko Tanzania Yeye na Mkewake.
Curry yupo na familia yake kwenye ardhi ya Tanzania katika hifadhi ya Serengeti.
Curry amekuja mapumzikoni pamoja na kusheherekea miaka 10 ya ndoa yake na mpenzi wake aitwae Ayesha.
Nasikitika Kwa Hashim Thabeet Kwa Sasa Alipo, Wakati Curry na Hashim wanatoka College Kwenye NBA, Hashim Alikuwa Namba 2 Kwa ubora kumzidi Curry, Sjui Ni Nini Kilimkuta Hashim Mpaka Akawa Hivi.
View attachment 1879375
Mkuu basket ya sasa kinachoangaliwa ni uwezo wa mikono kuna watu wapo gifted kwenye mikono yao mmoja wao ndio huyo Curry hata yule Hayden sio mrefu ila shughuli zao sio kabisaMbona mfupi?
Basket ya 90s hadi 2007 ndio inataka mtu mbavu kama Shaq. Sasa hivi unakutana na maker kama campazzo au Trey young vimiili vodogoMbona hana kimo cha basket ?? ..
Eeeh hapo sawa ..Basket ya 90s hadi 2007 ndio inataka mtu mbavu kama Shaq. Sasa hivi unakutana na maker kama campazzo au Trey young vimiili vodogo
Sifwatilii sana basket ila huyu jamaa mziki wake usikie tu. Nenda youtube search jina lake ujionee..Mbona hana kimo cha basket ?? ..
Kuna chaliii mwingine anaitwa nate Robson mfupi ila alikuaga wa moto sana Enzi zakeSifwatilii sana basket ila huyu jamaa mziki wake usikie tu. Nenda youtube search jina lake ujionee..
Yes Jamaa Ndio Mkali Wa Mitupio Mi3Sifwatilii sana basket ila huyu jamaa mziki wake usikie tu. Nenda youtube search jina lake ujionee..