Mchezaji wa kulipwa mpira wa Kikapu Curry Steph aitembelea hifadhi Serengeti

Vp !nmesikia thabeet kasajiliwa Don Boscombe
Kuna ukweli hapo

Ova
 
Safi...
Ni vacation tu..ama ana projects nyingine atakazofanya .?
Kuna kipindi alikuja chini ya Mradi wa Umoja wa Mataifa..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Mbona hana kimo cha basket ?? ..
 
Hash..... Lack of seriousness and dreaming that he has achieved all while in reality he was starting his way up.
 
Mbona mfupi?
 
Mbona mfupi?
Mkuu basket ya sasa kinachoangaliwa ni uwezo wa mikono kuna watu wapo gifted kwenye mikono yao mmoja wao ndio huyo Curry hata yule Hayden sio mrefu ila shughuli zao sio kabisa
 
KI- mke chake ni kibantu hiki? mbona pua pana km pipe ya Meli? au nakosea jamani? siku a kiachwa atalia heee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…