Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Huyu kaka amelaani vikali.
Ameshauri watanzania kutafuta kazi nyingine hizi za mpira sio kazi kabisa.
Amehojiwa na redio na amejibu hawezi sema kitu ila anaomba aeleze kidogo alishangaa redkad akamwomba capt akaulize kwa refa.
Akamfwata ateba kumuulixa kamfanyajr akamjibu hajamfanyia kitu.
Akasema mpira wa tanzania umelaaniwa sana na hautaendelea na wanaouaribu n tff na chama cha marefa. Akanshauri mnaochexa huko mje kucheza nbc fikirien kazi zingine.
Hii ligi imejaa uhuni na upuuzi.
Ameshauri watanzania kutafuta kazi nyingine hizi za mpira sio kazi kabisa.
Amehojiwa na redio na amejibu hawezi sema kitu ila anaomba aeleze kidogo alishangaa redkad akamwomba capt akaulize kwa refa.
Akamfwata ateba kumuulixa kamfanyajr akamjibu hajamfanyia kitu.
Akasema mpira wa tanzania umelaaniwa sana na hautaendelea na wanaouaribu n tff na chama cha marefa. Akanshauri mnaochexa huko mje kucheza nbc fikirien kazi zingine.
Hii ligi imejaa uhuni na upuuzi.