Huu ni ukweli.
Sema SIMBA inadumaza na kuu SOKA....Yanga haikucheza jana...na hayo matukio ya marefa kutoa kadi nyekundu, yanafanywa sana kuibeba SIMA. Rejea mechi ya Fountai Gate - jinsi golikipa alivyotolewa na red card moja kwa moja.
c mlikuwa mnasema refa ndo mwenye maamuzi ya mwisho uwanjaniHuyu kaka amelaani vikali.
Ameshauri watanzania kutafuta kazi nyingine hizi za mpira sio kazi kabisa.
Amehojiwa na redio na amejibu hawezi sema kitu ila anaomba aeleze kidogo alishangaa redkad akamwomba capt akaulize kwa refa.
Akamfwata ateba kumuulixa kamfanyajr akamjibu hajamfanyia kitu.
Akasema mpira wa tanzania umelaaniwa sana na hautaendelea na wanaouaribu n tff na chama cha marefa. Akanshauri mnaochexa huko mje kucheza nbc fikirien kazi zingine.
Hii ligi imejaa uhuni na upuuzi.
Pesa za Mwamedi zinawapumbaza waamuzi wetu wanahamua kupindisha sheria.Huyu kaka amelaani vikali.
Ameshauri watanzania kutafuta kazi nyingine hizi za mpira sio kazi kabisa.
Amehojiwa na redio na amejibu hawezi sema kitu ila anaomba aeleze kidogo alishangaa redkad akamwomba capt akaulize kwa refa.
Akamfwata ateba kumuulixa kamfanyajr akamjibu hajamfanyia kitu.
Akasema mpira wa tanzania umelaaniwa sana na hautaendelea na wanaouaribu n tff na chama cha marefa. Akanshauri mnaochexa huko mje kucheza nbc fikirien kazi zingine.
Hii ligi imejaa uhuni na upuuzi.
Namungo wamesema wanaikatia rufaa iyo kadi but tiyali ishawaathiri na aiwezi kubadili matokeo,,manufaa yako upande wa refa ashavuta kibunda chake na karo ya watoto ashalipa na kiwanja ashanunua 🤣Huyu kaka amelaani vikali.
Ameshauri watanzania kutafuta kazi nyingine hizi za mpira sio kazi kabisa.
Amehojiwa na redio na amejibu hawezi sema kitu ila anaomba aeleze kidogo alishangaa redkad akamwomba capt akaulize kwa refa.
Akamfwata ateba kumuulixa kamfanyajr akamjibu hajamfanyia kitu.
Akasema mpira wa tanzania umelaaniwa sana na hautaendelea na wanaouaribu n tff na chama cha marefa. Akanshauri mnaochexa huko mje kucheza nbc fikirien kazi zingine.
Hii ligi imejaa uhuni na upuuzi.
Kauli nzito sana hii kutolewa na mwanaumeMgunda kasema hajawahi kulalamikia HATA kuwapigia kelele marefa HATA wapigie filimbi kama wanachezesha Ngoma
Lakini kwa yaliotokea Jana nawaachien wananchi mlioangalia
Semeni tu ukweli.