Mchezaji wa Real Madrid ana umri wa miaka 19 na mwanae wa miaka 8

Mchezaji wa Real Madrid ana umri wa miaka 19 na mwanae wa miaka 8

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Ina maana mchezaji huyu alipata mtoto akiwa na miaka 11

FB_IMG_16540984691502201.jpg
 
Kama Khalfani Ngasa tuu, kipindi yuko yanga akiwa na "miaka 19" alikuwa tayari na mtoto wa miaka 6!
 
West Africa wakiwa na talent, wanadanganya Sana umri ili kuweza kusigniwa kwenye academy za soka uko France.

Wakikaa uko miaka mingi wanapewa kabisa na uraia wa france.


Nadhan Hii ya camavinga iko hivyo,
Sura yake na umri wake haviendani.
 
Sijuagi huwa kuna siri gani kati ya miaka 18 hadi 29.

Inapendwaga sana hiyo miaka yaani waeza kuta watu wanachezea hapo tu. 😂
 
Back
Top Bottom