L Lady Mwali Senior Member Joined Nov 15, 2018 Posts 147 Reaction score 333 Jun 2, 2022 #1 Ina maana mchezaji huyu alipata mtoto akiwa na miaka 11
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 19,687 Reaction score 23,689 Jun 2, 2022 #2 Kama Khalfani Ngasa tuu, kipindi yuko yanga akiwa na "miaka 19" alikuwa tayari na mtoto wa miaka 6!
sudan iii JF-Expert Member Joined Sep 3, 2018 Posts 263 Reaction score 323 Jun 2, 2022 #3 Hakuna linaloshindikana Kwa mwafrica😁😁😁
DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 41,728 Reaction score 103,997 Jun 2, 2022 #4 West Africa wakiwa na talent, wanadanganya Sana umri ili kuweza kusigniwa kwenye academy za soka uko France. Wakikaa uko miaka mingi wanapewa kabisa na uraia wa france. Nadhan Hii ya camavinga iko hivyo, Sura yake na umri wake haviendani.
West Africa wakiwa na talent, wanadanganya Sana umri ili kuweza kusigniwa kwenye academy za soka uko France. Wakikaa uko miaka mingi wanapewa kabisa na uraia wa france. Nadhan Hii ya camavinga iko hivyo, Sura yake na umri wake haviendani.
K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 15,188 Reaction score 18,583 Jun 2, 2022 #5 tofautisha kubalehe na umri wakuoa kwenu Tanzania
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 49,759 Reaction score 118,798 Jun 2, 2022 #6 Sijuagi huwa kuna siri gani kati ya miaka 18 hadi 29. Inapendwaga sana hiyo miaka yaani waeza kuta watu wanachezea hapo tu. 😂
Sijuagi huwa kuna siri gani kati ya miaka 18 hadi 29. Inapendwaga sana hiyo miaka yaani waeza kuta watu wanachezea hapo tu. 😂
nG'aMBu JF-Expert Member Joined Mar 9, 2015 Posts 2,055 Reaction score 3,120 Jun 2, 2022 #7 Ni mdogo wake ndugu
Z Zero 2 Hero JF-Expert Member Joined Dec 16, 2012 Posts 532 Reaction score 1,072 Jun 2, 2022 #8 Lady Mwali said: Ina maana mchezaji huyu alipata mtoto akiwa na miaka 11 View attachment 2248006 Click to expand... Huyo pichani siyo mwanaye bali ni mdogo wake. Watu walipoona anafanana naye wakahisi ni mwanaye.
Lady Mwali said: Ina maana mchezaji huyu alipata mtoto akiwa na miaka 11 View attachment 2248006 Click to expand... Huyo pichani siyo mwanaye bali ni mdogo wake. Watu walipoona anafanana naye wakahisi ni mwanaye.
M man dunga JF-Expert Member Joined Oct 13, 2013 Posts 3,358 Reaction score 5,783 Jun 2, 2022 #9 Camavinga
T Tipstipstor JF-Expert Member Joined Nov 29, 2021 Posts 1,528 Reaction score 3,352 Jun 2, 2022 #10 Huyo aliyepiga nae picha ni mdogo wake
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jun 2, 2022 #11 Inawezekana...