SI KWELI Mchezaji wa Simba Babacar Sarr ana historia ya ubakaji, udanganyifu na kukimbia mamlaka

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Babagari baba (babacar...) ona hili bandiko um sue huyu utopolo kwa kashfa ambayo haikuhusu...
 
Mchezaji anaweza kuwa bora ila asiwe kwenye mipango ya kocha na akaachwa

Mchezaji anaweza kuwa bora ila asiwe na furaha na akaachwa.

Mchezaji anaweza kuwa bora ila ushindani wa namba ukawa mkubwa na akaachwa.

Mchezaji anaweza kuwa bora ila club ikahitaji fedha na akaachwa.

Sababu za mchezaji kuachwa na club yake ni nyingi na si zote zinahusisha kutokuwa bora.
 
Muulize mwarabu ndo nani? Waliachwa kina Ronaldo at their peak na kuuzwa club zingine...watu wanatafuta makoto...eti waarabu hawawezi kuwaacha wachezaji who are they?.na hao hao waarabu ndo ududu gani..
 
Muulize mwarabu ndo nani? Waliachwa kina Ronaldo at heir peak na kuuzwa club zingine...watu wanatafuta makoto...eti waarabu hawawezi kuwaacha wachezaji who are they?.na hao hao waarabu ndo ududu gani..
Kwaiyo Simba ndio Ina maokoto kuizidi us monastiries?
 
Angalia historia ya timu anayoshabikia inachofanywa na timu za waarabu utajua kwanini anawaabudu.
Basi mmesajili mchezaji Bora vipi sawadogo mlimsajili akitokea timu Gani vile?
 
Aucho wakati anaenda Yanga aliachwa uko misri,je nae alikuwa mbaya sasa mbona mkamchukua,kibaya kwako kwa mwengine ni mzuri
 
Kama story za baadhi ya you tube Tz. Unaweza kushtuka MTU Mkubwa unaambiwa kafariki kumbe MTU atatafuta viewers. Shabiki WA UTO ni kuwasamehe wengi shule Hanna๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Wewe kiwashe kwanz Baba(car)...umenichekesha sana ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜†
 
De Gea aliachwa na Man United lakini ni kipa mzuri tu anaweza kucheza yoyote
 
"He is currently an international fugitive wanted by Interpol." Interpol njooni mumkamate yupo mitaa ya Msimbazi
 
Huyo mchezaji anatakiwa amsalimie Boss Moo shikamoo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ