mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Jan 9, 2024 #21 Suala la umri wacheza mpira wanafoji Sana,sema kuna watu roho mbaya lazima wakuchomeee Ova
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Jan 9, 2024 #22 ukikaidi utapigwa2 said: Kama Kibu ana miaka 21 Mzize kwanini asiwe na 19 Click to expand... Bocco naye eti 30, sijui 32!! Wizi mtupu. 😁
ukikaidi utapigwa2 said: Kama Kibu ana miaka 21 Mzize kwanini asiwe na 19 Click to expand... Bocco naye eti 30, sijui 32!! Wizi mtupu. 😁
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Jan 9, 2024 #23 Its Pancho said: Uongo mkubwa ni ule wa bocco kuwa na miaka 29 means bocco ni mdogo wake na chama . Onyango mwenye miaka 26 means gadiel Michael ni kaka wa onyango Click to expand... Onyango miaka 26 alisema mwaka Gani? Bodaboda kusema ana 20 pia ni uongo aisee
Its Pancho said: Uongo mkubwa ni ule wa bocco kuwa na miaka 29 means bocco ni mdogo wake na chama . Onyango mwenye miaka 26 means gadiel Michael ni kaka wa onyango Click to expand... Onyango miaka 26 alisema mwaka Gani? Bodaboda kusema ana 20 pia ni uongo aisee
Gwele JF-Expert Member Joined Jun 7, 2016 Posts 2,604 Reaction score 3,319 Jan 10, 2024 #24 Legend Attachments FB_IMG_1704839636175.jpg 87.3 KB · Views: 3
ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 17,640 Reaction score 22,748 Jan 10, 2024 #25 Toka 2021 wanamuandama tu
Kitimoto JF-Expert Member Joined Aug 25, 2012 Posts 6,941 Reaction score 7,808 Jan 10, 2024 #26 ephen_ said: Bado Mzize! Uzee wote ule anasema juzi katimiza miaka 20😄 Click to expand... Wewe ndiye mama yake uliyemzaa!
ephen_ said: Bado Mzize! Uzee wote ule anasema juzi katimiza miaka 20😄 Click to expand... Wewe ndiye mama yake uliyemzaa!