Mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya aondolewa kikosini baada ya kugundulika kuwana COVID 19 akitokea Tanzania

Kama n hvo hata Taifa Stars wanaweza wasicheze na Tunisia maana wote wanaweza kukutwa na Covid19.
inawezekana kabisa, haya mambo sio ya kuchukulia ushabiki, nchi nyingi corona wanaichukulia serious sana. niliona wachezaji wa taifa stars wakiwa uturuki wamevaa barakoa. itakuwa wamepimwa.
 
Kenya mnapaswa kwanza kuangalia Hilo Jambo kwa UPANDE wenu.
Hyo Corona kaipatia huko huko.
Muacheni huko akipona atarudi.
Poleni Sana.
 
Corona ipo...waanze kupima watu mtaani utashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…