The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Kama hujasikia wewe haimaanishi kuwa hajaja.....jamaa yupo BongoMbona kaja kimyakimya?
Halafu hakuna ushahidi wowote kwenye hiyo picha kudhihirisha kuwa kweli yuko Brake Point ya Kinondoni.
Nisingekubana usingeleta huu uthibitisho. Nafurahi kuwa Campbell ameona Tz ni mahala pazuri pa kutembelea.Kama hujasikia wewe haimaanishi kuwa hajaja.....jamaa yupo Bongo
Wenzako walienda hadi kumpokea Jk Nyerere
Hivi ww alijifunga lini ?? Mechi gani?? Lete uthibisho acha longolongo hili jembe halijawahi kupiga on goal hata mechi moja.Alikua anajifunga balaa, afu Wenga hamuachi