United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Utopolo mchezaji WENU kweli aliwahi kubahatika kupita kwenye klabu ya Newcastle united ya ligi kuu England kwenye miaka ya 2012 huko ila kwa Newcastle Ile ya miaka 2012 isingekuwa rahisi kupata namba hata Kwa bahati mbaya.
Kwanza Kwa nafasi anayocheza kulikuwa na kiungo wa kukata na shoka kutoka Ivory coast, marehemu tiote huyo mburundi angeanzaje kuchezaji.
Haya hata ukisema umpeleke kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji walikuwepo kina Yoan Cabaye, Hartim ber arfa, Cissoko, kina Mohammed Diame.
Hata ukisema umtafitie nafasi kweny beki huoni sehemu ambayo angepata namba walikuwepo kina coloccin,debuch n.k
Hao kina shola.ameobi walikua wanatokea benchi nyinyi mchezaji wenu angeanza wapi tuache kujifariji mchezaji wenu alikua mbeba viatu.vya kina demba ba na kina Tiote,
Sem. hongereni kwakua na mchezaji ambaye amewah shiriki mazoezi na wachezaji wa ligi kuu england
Kwanza Kwa nafasi anayocheza kulikuwa na kiungo wa kukata na shoka kutoka Ivory coast, marehemu tiote huyo mburundi angeanzaje kuchezaji.
Haya hata ukisema umpeleke kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji walikuwepo kina Yoan Cabaye, Hartim ber arfa, Cissoko, kina Mohammed Diame.
Hata ukisema umtafitie nafasi kweny beki huoni sehemu ambayo angepata namba walikuwepo kina coloccin,debuch n.k
Hao kina shola.ameobi walikua wanatokea benchi nyinyi mchezaji wenu angeanza wapi tuache kujifariji mchezaji wenu alikua mbeba viatu.vya kina demba ba na kina Tiote,
Sem. hongereni kwakua na mchezaji ambaye amewah shiriki mazoezi na wachezaji wa ligi kuu england