rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Mnapokuwa watoto huwa mnajikuta mnacheza michezo hatari sana bila kujua wengine huishia hata kupatwa na mauti lakini mimi Aisee sitasahau siku ambayo tulikuwa tunacheza ule mchezo wa kushikana mikono alafu mtu mmoja analala katikati ya mikono yenu then mnakuwa kama mnambinua kwa kumrusha hivi.. Sasa bwana mdogo wetu flani tulimrusha akadondokea Shingo aisee alilala kama kwa dak 1 hanyanyuki na akawa kama shingo imevunjika hivi tuliogopa sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Toka siku hiyo sijawahi rudia kwa kweli ule mchezo hata leo hii nkiona watoto wanaucheza nawakataza kabisa.
Mchezo gani hatari uliwahi cheza utotoni?
Mchezo gani hatari uliwahi cheza utotoni?