Mchezo gani ulikuwa unaupenda utotoni

mimi aisee hakuna mchezo nilikuwa naupenda kama kuokota KOROSHO TU BASS yaani hunitoi
 
Mnatengeneza duara halafu mnaimba: -

"Kidea, kidea, kide kide kide kide kide kide, i love nakupenda...."

kisha unaenda kumchagua unayempenda...

Mitaa ya ubungo maziwa miaka ya 90..[emoji3]
Sasa unayempenda achaguliwe na mtu kwingine kabla zamu yako haijafika! Kamoyo pah kama mtu mzima vile
 
Enzi zile kulikuwa na mchezo wa kumbiza wasichana utakaye mkamata tu unapewa papuchi....
 
Gololi,kucheza Kidali juu ya miti,kuzulula na mammbwa,kuiba miwa kwenye mashamba ya watu,chandim,tobo bao, kombolela,kuendesha maringi ya baiskeli,magari ya mbao na mabati ya madebe,kufuga samaki kisoda, kinyuzi, Quran, red, zebra,tv za mabox,kupiganisha watu wa udongo, kwenda kumuangalia rufufu mkandara...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…