Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Mchezo uliopamba moto hivi sasa wa bahati nasibu ya Biko ukimaliza miezi sita kuanzia sasa mimi najitoa JF!
Ninatabiri kuwa in the next coming six month, mchezo huu utakuwa umeshakufa kibudu.
Huu ni mchezo wa matumaini. Yani watu wengi huchangia mtu mmoja ashide.
Pale watu wanapokuwa wanacheza huku hawashindi, say kwa mara kumi, huanza kujitoa mmoja mmoja na baada ya mda kama kulikuwa kuna wachangiaji elfu kumi, mara wataanza kupungua na kubaki elfu tisa, elfu nane, elfu saba, elfu sita, elfu tano, elfu nne, elfu tatu, elfu mbili, elfu moja, and guess what, from there mchezo utacollapse.
Kama una ndoto za kucheza, ni bora ucheze sasa huenda ukashinda na kutimiza ndoto zako, ila maono yangu ni kuwa in the next six month tutakuwa tunasema R.I.P kwa mchezo huu, mchezo wa matumaini!
Ninatabiri kuwa in the next coming six month, mchezo huu utakuwa umeshakufa kibudu.
Huu ni mchezo wa matumaini. Yani watu wengi huchangia mtu mmoja ashide.
Pale watu wanapokuwa wanacheza huku hawashindi, say kwa mara kumi, huanza kujitoa mmoja mmoja na baada ya mda kama kulikuwa kuna wachangiaji elfu kumi, mara wataanza kupungua na kubaki elfu tisa, elfu nane, elfu saba, elfu sita, elfu tano, elfu nne, elfu tatu, elfu mbili, elfu moja, and guess what, from there mchezo utacollapse.
Kama una ndoto za kucheza, ni bora ucheze sasa huenda ukashinda na kutimiza ndoto zako, ila maono yangu ni kuwa in the next six month tutakuwa tunasema R.I.P kwa mchezo huu, mchezo wa matumaini!