DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Nyie vepee mbona sie wa mitandao mingine hatuoni bahati
Nyie vepee mbona sie wa mitandao mingine hatuoni bahati
Naomba unifundishe wanachezqjeLeo itakuwa wengi tumeangalia huu mchezo maana leo mara ya kwanza kuona wakiwa wanachezesha.
Tufunzane nami mgeni hukoNaomba unifundishe wanachezqje
Khaa sasa kipofu anamulekezaje kipofu mwenzieTufunzane nami mgeni huko
Ndio bahati nasibu nasi tutabashiri kuelekezana.Khaa sasa kipofu anamulekezaje kipofu mwenzie
Jana naona wamechezesha wa Zanzibar ashinde hahahaaahahaSetting
Biko inalipa kodi milioni 900 kila mwezi yakishuka ni 600....haita kaaifungiwe na serikaliBIKO ni kampuni la kihuni Sana na ikiwezekana serikari ilifungie kabsa
Mwanamke mwingine wa Diamondbiko ndo nin
Si tutaelekezana Kule 6-6Ndio bahati nasibu nasi tutabashiri kuelekezana.
Kwenye madoido yako lazima tutusue hapoSi tutaelekezana Kule 6-6