jitukubwalao
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 194
- 161
Hivi huu mchezo wachezaji wake ni matajiri sna? Kwa sababu wanapopewa taarifa ya kushinda huo wapo kawaida sna, yaani mtu ameambiwa umeshinda 20m anasema asante basi hakuna shamrashamra yoyote ile?
Inakuwa kama vile kapewa taarifa ya kawaida tu
Inakuwa kama vile kapewa taarifa ya kawaida tu