Tetesi: MCHEZO WA BIKO

jitukubwalao

Senior Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
194
Reaction score
161
Hivi huu mchezo wachezaji wake ni matajiri sna? Kwa sababu wanapopewa taarifa ya kushinda huo wapo kawaida sna, yaani mtu ameambiwa umeshinda 20m anasema asante basi hakuna shamrashamra yoyote ile?
Inakuwa kama vile kapewa taarifa ya kawaida tu
 
Naona mkuu ulitaka iwe km taarifa ya msiba[emoji1][emoji1] .ila mm michezo ya kutuma muamala kusubiri txt ya muamala siwezi fanya ,bora ucheze mkeka wako .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…