kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,423
- 3,414
Hivi jamani kwenye mchezo Wa karata kuna kadi moja inaitwa mavi,hivi ile ndo jina lake au sisi tu,MTU anaejua aniambie,utasikia wachezaji wanasema toa mavi nilambe,au lamba mavi,je haina jina lingine zuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app