hakuna hata jina la kizungu hv!!!Ishapita hiyo ni mavi tuu hakuna jina lingine,,..
Kwani sisi wazungu?
Hata kama sio zetu,kwann tusiite majina yetu tunayoburudishwa nayo?kama mavi...
Mama ukishashiba unakuja kuandika mambo mabaya huku hata bila kutumia tafsida!Hata kama sio zetu,kwann tusiite majina yetu tunayoburudishwa nayo?kama mavi...
Eee we mtoto wewee...umekujaje huku??Mama ukishashiba unakuja kuandika mambo mabaya huku hata bila kutumia tafsida!
hahahaha sasa wewe unamalizia tena kwa kutaja jina ambalo hatutaki kulisikia- acha bwana kutufanyia hvyo.Hata kama sio zetu,kwann tusiite majina yetu tunayoburudishwa nayo?kama mavi...
Jina lingine ni karangaHivi jamani kwenye mchezo Wa karata kuna kadi moja inaitwa mavi,hivi ile ndo jina lake au sisi tu,MTU anaejua aniambie,utasikia wachezaji wanasema toa mavi nilambe,au lamba mavi,je haina jina lingine zuri?
Sent using Jamii Forums mobile app