Mchezo wa mashindano ya magari Tanzania (Rally)

Najua utakua unatokea kaskazini, wape hi wana SUKA....kuna jamaa mmoja anajiita mtoto wa migombani( monoo wa mndenyi...km sijakosea.) Msalimu
 
Najua utakua unatokea kaskazini, wape hi wana SUKA....kuna jamaa mmoja anajiita mtoto wa migombani( monoo wa mndenyi...km sijakosea.) Msalimu

Mimi niko dar ila monoo wa mndenyi namfahamu nikienda kwny rally huko ntafkisha salam mkuu
 
Sawa sawa mkuu, mi shughuli zimenibana kidogo halafu huku niliko hamna hata club so nilikua nawafwataga wale jamaa moshi ndo nnacheza nao. Wape hi...Subaru mbege pawa..teh teh
 
Mbege power ni shda vijana wanaokuja juu kwa kasi hahahaha
 
Kuna wakati mashindano haya yalifanyika huko Zanzibar... Je bado yanaendelea? Ma'nake sijaona kama wana club ya mashindano kama ulivyotaja katika moja ya mabandiko yako.
 
Kuna wakati mashindano haya yalifanyika huko Zanzibar... Je bado yanaendelea? Ma'nake sijaona kama wana club ya mashindano kama ulivyotaja katika moja ya mabandiko yako.

Hapana mkuu zanzibar hawaandai tna mchezo huu
 

mbona naona washindi ni waarabu arabu tu,ina maana hakuna wabantu wenzetu walio tikisa? Nilijua labda ntawakuta akina Majuto,Mashaka,Juma,Shabani,Matonya,Kishoka na wengne kama hao.
 
mbona naona washindi ni waarabu arabu tu,ina maana hakuna wabantu wenzetu walio tikisa? Nilijua labda ntawakuta akina Majuto,Mashaka,Juma,Shabani,Matonya,Kishoka na wengne kama hao.

Watu weusi wapo na nmewataja kama kina mzee lesirwa,humprey soka,baba dee,lukumayi,david mosha,frank taylor
 
mbona naona washindi ni waarabu arabu tu,ina maana hakuna wabantu wenzetu walio tikisa? Nilijua labda ntawakuta akina Majuto,Mashaka,Juma,Shabani,Matonya,Kishoka na wengne kama hao.

Na pia kitu kingine mkuu ukiangalia hata trend ya maisha na umiliki wa magari bongo miaka kumi iliyopita na ss utaona tofauti. Ss hivi watu wengi zaidi haswa vijana tunamiliki magari yetu, haswa hizo za mashindano kuanzia lexus, baru baru,mitsubish na mazda kwahiyo basi saiv vijana wengi zaid wanajihusisha si km zamani wenye magari walikua matajiri au mtu aliyetoka ulaya na waarabu ndio maana walidominate
 

Kwl kbsa mkuu
 
Watu weusi wapo na nmewataja kama kina mzee lesirwa,humprey soka,baba dee,lukumayi,david mosha,frank taylor

Hivi baba dee bado anashiriki? Nilipenda sana hii kitu na napenda hadi leo. Sema majukumu yamenibana ila nitarudi tu.

Halafu wapeni elimu watazamaji jamani huko njiani kuepuka maajali! Hilo ni tatizo kubwa sana hapa kwetu.
 
Hivi baba dee bado anashiriki? Nilipenda sana hii kitu na napenda hadi leo. Sema majukumu yamenibana ila nitarudi tu.

Halafu wapeni elimu watazamaji jamani huko njiani kuepuka maajali! Hilo ni tatizo kubwa sana hapa kwetu.

Hapana mkuu baba dee amestaafu kwa sasa tunajitahid kutoa elimu kwa mashabiki kwan ni mojawapo ya changamoto kubwa kwny mchezo huu
 
Vp pale moshi memorial yale mashindano waliyafuta au wapo sehem nyingne msaada tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…