Mchezo wa mashindano ya magari Tanzania (Rally)

Wachezaji wa huu mchezo wanapatikanaje?

Huu ni mchezo kama michezo mingine ukiwa na interest nao bas wanajiunga kwny club kwaa jili ya kujifunza sheria zake na kuanza kushiriki
 
Asante mkuu kwa ilmu ya bure !!
na mimi naomba niulize tuswali twangu kadhaa
1.Kwa nini gari hizi rally wanapenda kutumia SUBARU na EVO zaidi NA si TOYOTA ?
2.Kwa nini gari hizi mara nyingi ni manual Transmission ?
 
Asante mkuu kwa ilmu ya bure !!
na mimi naomba niulize tuswali twangu kadhaa
1.Kwa nini gari hizi rally wanapenda kutumia SUBARU na EVO zaidi NA si TOYOTA ?
2.Kwa nini gari hizi mara nyingi ni manual Transmission ?

Pamoja mkuu kiukwl watu wanapenda subaru au evo kwasababu znaonekana kuendana na mazingira yetu ya africa tofauti na aina nyingine za magar pia upatikanaji wake wa vipuri ni mrahisi kdogo ictoshe zna kimbia sna.tukija kwny kwann ni manual ni kwasababu transmission hii inakupa uwanja mpana wa kufanya maamuz ukiwa kwny mashindano kuliko auto kuna mahali utaitaji kupangua kwny kona ili upate power slide auto hawezi vtu kama ivyo
 
Mkuuu nipo moshi now bado hyo michezo ipo pale memorial ya mazoez au wamesitisha kidogo mkuu msaada tafadhali
 
Najua utakua unatokea kaskazini, wape hi wana SUKA....kuna jamaa mmoja anajiita mtoto wa migombani( monoo wa mndenyi...km sijakosea.) Msalimu
pengine unamzungumzai Salvatory Mcharo "wana wa mndenyi" akiwa na subaru impreza GC 8
 
Sa hv habari mpya ni Ahmed Huwell na gar mpya ford Fiesta pronto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…