Mchezo wa mieleka Una ukweli wowote?

Dah!..kweli wazungu wametuzidi sana yani mtu anaigiza kavunjika shingo anakaa miezi na hogo mradi anaigiza mieleka, ama wale wengine wanaofia ulingoni sijui ndo wanakua wamemaliza script zao!!..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‰πŸ˜‰
 
Hujawahi kutazama movie?. Nini damu mbona watu wanapigwa mabomu na risasi hadi wanakufa na kuzikwa??. Hizo ni TV shows tu kama movies mzee
Sorry, lazima uelewe kuna acting na vitu vyengine sio acting ni performing.
Kwahiyo unataka kusema nyimbo ya msanii aliyorekodi video na anapoimba live perfomance ni sawa?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Dah!..kweli wazungu wametuzidi sana yani mtu anaigiza kavunjika shingo anakaa miezi na hogo mradi anaigiza mieleka, ama wale wengine wanaofia ulingoni sijui ndo wanakua wamemaliza script zao!!..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‰πŸ˜‰
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Hivi maigizo hadi kutoana damu live, au hujawahi kuangalia WWE NO MERCY?!!

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Mkuu kwenye movies kuna baadhi ya actors wamefariki kweli ,
Kwa hiyo damu kwenye maigizo wala c ajabu.
Halafu hiyo sent from Samsung smart tv yuzing jamiiforam kiboko
 
Mkuu hata mimi nina utata kama wako..tusubirie majibu zaidi
Wanafanya rehasal kwanza so matokeo yote ni ya kupangwa! Kuna script kabisa inaandikwa kama movie vile na hizo script ndio.wanazozifuata kwa kuongea na matukio yote. Script huaribika tu pale mtu anapoumia bahati.mbaya so inabidi waandike upya story itakavyokuwa. But wanachofanya pale jukwaani ni real ni physical fight ila ni.professinals so wajua what wafanye mtu asidhurike zaidi but at the end of the day matokeo yanakuwa yameshapanga.
Ni kama unavyoangalia movie its not real lakini unaenjoy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah!..kweli wazungu wametuzidi sana yani mtu anaigiza kavunjika shingo anakaa miezi na hogo mradi anaigiza mieleka, ama wale wengine wanaofia ulingoni sijui ndo wanakua wamemaliza script zao!!..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‰πŸ˜‰
Sometimes anakuwa ameumia.kweli but sometimes inakuwa ndani ya script kwamba labda aumie ili wamuandalie story nyingine.
Mfano hawa akina John cena ambo wanaekti movie hollwood wakiwa wanahitajika huko hollwood maana kule movie inaigizwa hata miezi 6 unakuta huku wwe wanafanya kama.kaumia then after 6 miezi anarudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwenye movies kuna baadhi ya actors wamefariki kweli ,
Kwa hiyo damu kwenye maigizo wala c ajabu.
Halafu hiyo sent from Samsung smart tv yuzing jamiiforam kiboko
Hata kwenye wresling wanakufa bahati.mbaya mwaka jana rey mysterio alimuua mwenzake kwneye mechi huko mexico na aliomba msamaha sababu ile 619 yake iko.legal.i aruhusiwa sema jamaa labda ndio ilikiwa siku yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unataka kujua ni real au sio real panda kwanza kwenye ulingo ndio utapata jibu!!
 
Kumbe jamaa wanaigiza tu hawa, me nilijua wanapigana kweli aseh!!...washanitoa hamu kuwaangalia tena!

source: www.wikipedia.com
 
asante kwa ufafanuzi
 
Hauna uhalisia hata kidogo maana wangekuwa wamekufa wengi sana, hata bifu zao huwa ni feki

Small minded people won't understand
 
Yale makitu ni ya ukweli... Kuna jamaa mmoja alisha fariki uwanjani... Rio Masterio sijui alipigana na nani kamdanchisha mtu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…