moodykabwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 625
- 602
Mchezo wa mpira migu ni mchezo pekee dunia usiokuwa na udini wala ukabila wala unaguzi warangi'
Na moody kabwe'''''''''''''''''''
Wadau wa mchezo wa mpira wa Miguu duniani huwa tunakutana pamoja katika viwanja vya mpira mbalimbalu,
mchezo huu kama nilivyoanza na kichwa cha habari hapo juu ndiyo mchezo pekee duniani usiokuwa na ubaguzi wa dini' Rangi' kabila au lugha' mchezo huu lugha yake ni moja tu mpira'
lakini pia mchezo huu wa mpira wa miguu kwa hapa kwetu umetufanya tumekuwa na timu inayopendwa na kutazamwa zaidi na kukusanya kila aina ya watu tofauti, Timu hiyo si nyingine ni Yanga africa sport club iliyoanzishwa mwa 1935 timu hii kila miezi na miaka imekuwa ikijikusanyia wanachama na mashabiki kila kukicha
Na kutengeneza matawi kibao ya kuisaidia timu kwa njia rahisi sana.
lakini pia Timu hii ya Yanga mwaka 2015/4/19 saa 9:15 jioni Kupitia wanachama wake walijikusanya mbali na matawi yao wanayotoka na kuunda umoja wao kwa kusaidiana katika shida na raha umoja huo walioupa jina la Group la YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU. ambao kwa lengo lao kubwa ni kuisaidia timu na wao kujisidia katika shida na raha yapo mambo mbalimbali wameyafanya
mfano kuwa karibu na wachezaji wao hupenda kujua kila mchezaji mwenye matatizo ili wamsaidie waliweza kununua deli lenye dhamani ya laki nane la kuwekea maji la kisasa na pia wako katika mipango muzito sana ya kuisaidia timu yao lakini pia group hili la YANGA WHATSAPP SUPPIRTERS MAKAO MKUU
huwa hupenda kujua matatizo ya wanachama wao kila mara na hata mwanachama anaokuwa na tatizo huonesha umoja wa karibu mpaka matatizo yaishe kwa mwenzao
nimejaribu kuwauliza baazi ya wnachama.wa group hilo kupenda kujua matatizo yanayowasibu ama changamoto kiukweli kila mwanachama alisema changamoto hazikosekani ila ni mambo madogo ambayo wanayamaliza kama familia moja hakika mchezo wa mpira ni wakupongezwa
kwani hujenga familia nyingine ya nje ya familia yako unakotoka na kukukutanisha na familia ya watu wengine.kama watu hawa waliokutanishwa na Yanga Africa sport kilabu
maarufu Yanga Whatsapp Supporters makao makuu group hili linaongozwa na mwana mama
Shekha mohamedi akiwa yeye ndiye mwenyekiti
akifwatiwa na katibu wake Evody peter
.'''''''''Ndugu zangu wapenda mchezo wa mpira wa miguu mchezo huu pia ni faida kubwa sana dunia hasa kiukweli kwa kuunganisha familia tofauti na kuwa kitu kimoja
kwa kumbukumbu zangu Ivory Costr ilikumbwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe ila Didie Drogba kupitia mchezo wa mpira wa miguu aliweza kumaliza viti ile kwa kuwaunganisha wananchi kuwa kitu kimoja
Yanga Africa inatakiwa itumie hazina hii iliokuwa nayo kujiendeleza kufika mbele zaidi kimaendeleo
na pia si vibaya na matawi mengine yakaiga kinachofanywa na wanachama hawa''''''''''''''''
kwa kujikwamua kiuchumi zaidi sipati picha kama nguvu anayotumia msemaji wao wa yanga Jerry murro kubishana na msemaji wa simba haji manara kama angeitumia.kuwahamasisha wanachama wsiolipa ada wakalipe na wale mashabiki wasiokuwa na kadi wakachukue kadi hakika kilabu hii ingekuwa na mapato mengi sana'
lakini pia kama kilabu hii ingeweza kukaa karibu na matawi yao ambayo yanajuana na watu wenye uchumi wa kipato cha juu hakika kilabu hii ingekuwa na hata na viwanja 10 nchi hii
bila kusahau makundi ya ushangiliaji haya naomba niyaorozeshe kama ifwatavyo
1)YANGA BOMBA SUPPOTERS MAKAO MAKUU
2) YANGA BOMBA TAWI LA UHURU
3) YANGA BOMBA SUPPOTERS
4) YANGA WHATSAPP SUPPORTES MAKAO MAKUU
5) YANGA WHATSAPP SUPPORTERS GROUP
6) YANGA FECBOOK FAMILL
YANGA FECBOOK FANS
7) YANGA FECBOOK COMUNITY
8) YANGA BOMBA TAWI LA MAZESE
9) YANGA TEMINO
10) WAKALI WA TEMBONI
11) WAKALI WA TANDALE
12) TAWI LA MAZESE WAKALI.WA KATIBA
13) KEKO UKOMBOZI
14) YANGA WHATSAPP RAHA
n.k
haya ni baazi ya magroup makubwa sana yenye ushawishi mkubwa kwa wanachama wa yanga kama uongozi wa yanga ungeyatumia haya kwa kina kupitia viongozi wao hakika kilabu hii ingefika mbali sana wakiongozwa na msemaji wao mhamasishaji jerry murro
ndugu wanayanga na wapenda soka wote wayanga africa hatuna budi kuwashukuru wote walioleta mchezo wa pira wa miguu Dunia na hapa Tanzania kwetu na kuwa na kilabu Tunayoipenda ya YANGA AFRICA
Hongera mpira wa miguu kwa kutuunganisha dini na makabila na jinsia tofauti na kuondoa ubaguzi wa rangi na kutuunganisha pamoja ila kwa Tanzania hutumiki vizuri unatumika sivyo
Na Moody kabwe Comrad
mfwasi wa mpira wa miguu
Na moody kabwe'''''''''''''''''''
Wadau wa mchezo wa mpira wa Miguu duniani huwa tunakutana pamoja katika viwanja vya mpira mbalimbalu,
mchezo huu kama nilivyoanza na kichwa cha habari hapo juu ndiyo mchezo pekee duniani usiokuwa na ubaguzi wa dini' Rangi' kabila au lugha' mchezo huu lugha yake ni moja tu mpira'
lakini pia mchezo huu wa mpira wa miguu kwa hapa kwetu umetufanya tumekuwa na timu inayopendwa na kutazamwa zaidi na kukusanya kila aina ya watu tofauti, Timu hiyo si nyingine ni Yanga africa sport club iliyoanzishwa mwa 1935 timu hii kila miezi na miaka imekuwa ikijikusanyia wanachama na mashabiki kila kukicha
Na kutengeneza matawi kibao ya kuisaidia timu kwa njia rahisi sana.
lakini pia Timu hii ya Yanga mwaka 2015/4/19 saa 9:15 jioni Kupitia wanachama wake walijikusanya mbali na matawi yao wanayotoka na kuunda umoja wao kwa kusaidiana katika shida na raha umoja huo walioupa jina la Group la YANGA WHATSAPP SUPPORTERS MAKAO MAKUU. ambao kwa lengo lao kubwa ni kuisaidia timu na wao kujisidia katika shida na raha yapo mambo mbalimbali wameyafanya
mfano kuwa karibu na wachezaji wao hupenda kujua kila mchezaji mwenye matatizo ili wamsaidie waliweza kununua deli lenye dhamani ya laki nane la kuwekea maji la kisasa na pia wako katika mipango muzito sana ya kuisaidia timu yao lakini pia group hili la YANGA WHATSAPP SUPPIRTERS MAKAO MKUU
huwa hupenda kujua matatizo ya wanachama wao kila mara na hata mwanachama anaokuwa na tatizo huonesha umoja wa karibu mpaka matatizo yaishe kwa mwenzao
nimejaribu kuwauliza baazi ya wnachama.wa group hilo kupenda kujua matatizo yanayowasibu ama changamoto kiukweli kila mwanachama alisema changamoto hazikosekani ila ni mambo madogo ambayo wanayamaliza kama familia moja hakika mchezo wa mpira ni wakupongezwa
kwani hujenga familia nyingine ya nje ya familia yako unakotoka na kukukutanisha na familia ya watu wengine.kama watu hawa waliokutanishwa na Yanga Africa sport kilabu
maarufu Yanga Whatsapp Supporters makao makuu group hili linaongozwa na mwana mama
Shekha mohamedi akiwa yeye ndiye mwenyekiti
akifwatiwa na katibu wake Evody peter
.'''''''''Ndugu zangu wapenda mchezo wa mpira wa miguu mchezo huu pia ni faida kubwa sana dunia hasa kiukweli kwa kuunganisha familia tofauti na kuwa kitu kimoja
kwa kumbukumbu zangu Ivory Costr ilikumbwa na vita ya wenyewe kwa wenyewe ila Didie Drogba kupitia mchezo wa mpira wa miguu aliweza kumaliza viti ile kwa kuwaunganisha wananchi kuwa kitu kimoja
Yanga Africa inatakiwa itumie hazina hii iliokuwa nayo kujiendeleza kufika mbele zaidi kimaendeleo
na pia si vibaya na matawi mengine yakaiga kinachofanywa na wanachama hawa''''''''''''''''
kwa kujikwamua kiuchumi zaidi sipati picha kama nguvu anayotumia msemaji wao wa yanga Jerry murro kubishana na msemaji wa simba haji manara kama angeitumia.kuwahamasisha wanachama wsiolipa ada wakalipe na wale mashabiki wasiokuwa na kadi wakachukue kadi hakika kilabu hii ingekuwa na mapato mengi sana'
lakini pia kama kilabu hii ingeweza kukaa karibu na matawi yao ambayo yanajuana na watu wenye uchumi wa kipato cha juu hakika kilabu hii ingekuwa na hata na viwanja 10 nchi hii
bila kusahau makundi ya ushangiliaji haya naomba niyaorozeshe kama ifwatavyo
1)YANGA BOMBA SUPPOTERS MAKAO MAKUU
2) YANGA BOMBA TAWI LA UHURU
3) YANGA BOMBA SUPPOTERS
4) YANGA WHATSAPP SUPPORTES MAKAO MAKUU
5) YANGA WHATSAPP SUPPORTERS GROUP
6) YANGA FECBOOK FAMILL
YANGA FECBOOK FANS
7) YANGA FECBOOK COMUNITY
8) YANGA BOMBA TAWI LA MAZESE
9) YANGA TEMINO
10) WAKALI WA TEMBONI
11) WAKALI WA TANDALE
12) TAWI LA MAZESE WAKALI.WA KATIBA
13) KEKO UKOMBOZI
14) YANGA WHATSAPP RAHA
n.k
haya ni baazi ya magroup makubwa sana yenye ushawishi mkubwa kwa wanachama wa yanga kama uongozi wa yanga ungeyatumia haya kwa kina kupitia viongozi wao hakika kilabu hii ingefika mbali sana wakiongozwa na msemaji wao mhamasishaji jerry murro
ndugu wanayanga na wapenda soka wote wayanga africa hatuna budi kuwashukuru wote walioleta mchezo wa pira wa miguu Dunia na hapa Tanzania kwetu na kuwa na kilabu Tunayoipenda ya YANGA AFRICA
Hongera mpira wa miguu kwa kutuunganisha dini na makabila na jinsia tofauti na kuondoa ubaguzi wa rangi na kutuunganisha pamoja ila kwa Tanzania hutumiki vizuri unatumika sivyo
Na Moody kabwe Comrad
mfwasi wa mpira wa miguu